Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Wananume kama unajisikia umechoka. na ukiingia mchezoni unakua kama ndo unamchokoza mwenzio, si bora upospond for the next night? au inakua ngumu?
Kwani malavidavi ni mpaka night jamani? Hata mchana au uchovu ukishatoweka!! Lo!!