hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Basi unaona umeongea point kweli kumbe empty set. Zero.
Hapa sio FB Kaka/Dada
Hapa tunabishana Kwa hoja kama Huna hoja tulia tu
Basi unaona umeongea point kweli kumbe empty set. Zero.
Hapa ccm wanaogopa wakiwatoa chadema inaweza kugoma kupeleka majina mengine. then wakakosa pesa za EU.Tunachouliza watanzania, hivi hilo Bunge lina double standards, Katika maamuzi yake?
Iweje wabunge wa CUF walipovuliwa uanachama wao, papo hapo, wakafukuzwa na ubunge wao, kwa kuwa Bunge lilieleza wazi kuwa haliwezi kuendelea na wabunge wasiotokana na chama chochote cha siasa!
Hivi inakuwaje sasa kwa Hawa wabunge wa Chadema, Spika aendelee kuwakumbatia Hadi pale mhimili wa Mahakama utapotoa hukumu??
Wizi wa Kura Kwa Africa ni Jambo la kawaida, hata mbowe akiwa rais still ataiba Kura
Kwahiyo walikuwa wanaenda kama gender balance ama? Hata ingetokea mwanaume achaguliwe na aende bado tungempa kubwa yake. Mbowe mwenyewe sasa hivi hatumuelewi anaenda ikulu mwenyewe kufuata nini, au naye utasema kwakuwa tumeona anaenda kuongea na mwanamke?
Ww ndio unajua ni wanawake, sisi tunajua ni wasaka maslahi binafsi wakati chama kimehujumiwa wazi wazi.
Tumechora mstari. Kama ni kawaida basi uchaguzi wa 2020 tumesema enough is enough.
hata wakitaka wawape na mlima kilimanjaro kama zawadi na wakae huko bungeni milele au wapewe vyumba walalane watajijua wenyewe POINT HAPA NI KWAMBA HAO SIYO WANACHAMA WA CHADEMA tusilazimishane uduwanziHakuna Jambo litatokea na wale watakaa mpaka 2025 me nakwambia
Mlisema magu kafa, mara ndugai katoka mara Baraza kuu wale wapo Tu
Sio muda wote wa kudindia serikali
Tindo ww ni muumini wa siasa za lisu hahaha siasa za amsha amsha
Siasa za kuparula au sio
Sina muda wa siasa za kusujudia mtu, bali nataka siasa za haki na uwajibikaji fullstop.
Hii reasoning yako ni ya ajabu sana.... hakuna tofauti na kusema niliiba ili nikamtibu mama yangu. Haramu ni haramu, kama CHADEMA walivunja sheria kutopeleka majina ya viti maalum, walipaswa kushitakiwa.Wale wa cuf sababu za kufukuzwa kwao hazikuwa na adhari kwenye utendaji wa Bunge
Chadema iligoma kupeleka wabunge viti maalum, Jambo la viti maalum ni Jambo la kisheria
So wakina mdee walivuliwa uanachama wao Kwa kutiii sheria ya viti maalum
Hapo sasa ndio chadema watafeli hata mahakamani
Hata wa 2025 itakuwa biggest enough is enough haha
2025 watu wanaojielewa hawatajitokeza kupiga kura, labda kufanyike mabadiliko ya kweli ya katiba na tume huru ya uchaguzi. Kinyume na hapo uchaguzi utakuwa na wapiga kura wachache kupita maelezo. Mungu akituweka hai tutakuwa hapa kushusha idadi ya wapiga kura, tayari kwa kushawishi watu watumie njia mbadala ya kupata viongozi wawatakao.
Sasa Kaka Kwa chadema hii hakuna wa kufanya hivyo never
Kwani siasa za haki ni lazima zifanywe na cdm tu?
Hakuna katiba wala tume mpya
Havitakuja hivyo vitu never
Sasa ww ndugu yangu ni mnazi wa chadema
Yap as long as CDM wanasimamia siasa nizitakazo, wakianza haya mambo ya Mbowe ya siasa za kujikomba siko huko.
Haya ndio matamanio yako, lakini vyote utaviona kwa macho yako.
Mbowe sasa ndio kabeba maono so ni mwendo wa mikono nyuma Tu
Yaani hadi mungu kakinyima tako.Tulia ukilala unasali kwa roho na kweli? Hujajifunza tu ya Job? Cheo ni dhamana na WAKATI SI MILELE!
Yuko wapi Job leo hii
Yuko wapi Sabaya
Yuko wapi Bashite....
Yako wapi mafirauni yote yaliyotamba kwa nyakati zao?