LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Nchi hii umma usipotoka usingizini tutaendelea kuibiwa mpaka Basi, mahakama na bunge vinatumika kusafisha ufisadi wa kulipa watu wasio na vyama bungeni.Dhambi hii itaendelea kuumiza taifa letu daimaWa kukemea uovu hayupo genge la kifisadi linalolindwa na dola limeng'ang'ana kutunyonya kama luba!kazi ipo kiukweli nchi yetu haina viongozi.