kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,550
- 2,381
Masikini Tulia, yaani watu wenyewe hawafiki hata mia tano ..pole Sana Tulia Mwansasu
Mpango kabambe ni CCM kupita bila kupingwaHii Nchi sijui double stand itaisha lini! Sugu alikamatwa na Jeshi la polisi kwa kosa la kufanya maandamano wakati wa kuchukua fomu. Kwanini Tulia hajakamatwa au yeye yuko juu ya sheria!
Delete CCM on 28th October 2020 for the safety of our Nation.
Mbeya hakunaga ushindi wa kupewa na polisiHuyu kushinda Mbeya ni ndoto.. Subiri tuone.
kuichagua ccm ni kuhalalisha umasikini wako again for 5 yrsCCM tumewachoka, kwa miaka 50 ya utawala wenu wanainch bado wanasumbuliwa na uji ga, marathon, makazi, njaa na umasikini.
shida ya kuchanganya upolisi na ukadaKwa kweli sugu walimwonea.
Double standard
Mikutano ya Lisu wakati wa kuchukua form umeruhusiwa? Au mkuki Kwa nguruwe?Hayo maandamano yameruhusiwa sio. Huyo OCD atatelekeza familia. Mwambieni kuwa Mbeya sio ya kujifunzia kazi. Manina
ameliwa pesa zake sana aijui mbeya,angesubiria kuteuliwa tu kama baba yake akipena octoberNamuhurumia sana uyu Mama
kodi yetu hioAlafu mbona watu wote wamevaa mashatu, Dela na Tsheti Mpya.
Atumiwe wasap hayo maandamano labda amelala bado.Hayo maandamano yameruhusiwa sio. Huyo OCD atatelekeza familia. Mwambieni kuwa Mbeya sio ya kujifunzia kazi. Manina
Wewe ndio umenena, kiufupi tunawalia target tu. Mkiteleza kidogo Sugu si mgombea tena na Tulia hatokuwa na mpinzani. Vinginevyo Tulia itabidi asubiri muujiza kwenye sanduku la kura, tukishindwa mbinu zote za kimedani tutafanya figisu kama zile za uchaguzi wa marudio Kinondoni. Mbeya pagumu sana kwa bibie, angebaki Rungwe kupunguza matatizo yasiyo ya lazima.Mpango kabambe ni CCM kupita bila kupingwa
Mwaka huu mtauona sasambeya hakunaga ushindi wa kupewa na polisi
Jana nilikuwa mahali na mtumishi mmoja wa serikali , akaniambia anajuta kumpigia kura Magufuli ile 2015.kuichagua ccm ni kuhalalisha umasikini wako again for 5 yrs