asante sana kamanda , japokuwa nilikuwa nimeagiza supu mahali fulani lakini naitelekeza hata kama nimelipa , ngoja nikakae mahali tulivu , nijionee mambo ya TABORA .Arythrocyte, hapa Katibu Mkuu akiambatana na viongozi wa chama, kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Kanda, Shaaban Mambo na kulia kwake ni Diwani wa Viti Maalum CHADEMA, Kata ya Kakola...msafara unakwenda kupata chakula cha mchana kilichoandaliwa na wanakijiji wa Kakola...
View attachment 127162
View attachment 127158
Katibu Mkuu Dkt. Slaa akihutubia mkutano wa hadhara Tabora Mjini, jioni hii baada ya kuwa ametokea Ugoweko na Kakola...
NI HATARI SANA KUTEGEMEA UWONGO NA UPOTOSHAJI ili uishi , kama afanyavyo Taswira mkuu , wala usihangaike naye , jf yote inafahamu kwamba hayo ndiyo maisha yake .Mbona Taswira ameweka picha tofauti?
CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA
WEEE ACHA TU HIKI CHAMA KWELI NI MPANGO WA MUNGU NA KILA APITAPO Dr. SLAA SHETANI UTIMKA MBIO.
Hii thread itaenda mwendo wa konokono. Mbele ya picha hizi ambazo zinawapa maumivu makali Lumumba group na pro-CDM hakuna wa kuchangia labda kwa kujikokota na kujifariji huku wakifa kisomi..
Hiki chama kinahitaji sifa za kila namna...
Chadema ni chama chenye kibali mbinguni na duniani..
safi hata Wakati wa TAA Watu walitoa viwanja na ma shamba kwa ajili ya chamaHapa akikaribishwa Ugoweko ambako alifika kuweka jiwe la msingi la tawi la kijiji hicho. Mwenyekiti wa tawi hilo ametoa kiwanja chake takriban ekari moja kwa chama ili ijengwe ofisi.
View attachment 127166
Hapa akikaribishwa Ugoweko ambako alifika kuweka jiwe la msingi la tawi la kijiji hicho. Mwenyekiti wa tawi hilo ametoa kiwanja chake takriban ekari moja kwa chama ili ijengwe ofisi.
View attachment 127166
So natural young lady from the humble family ...picha imenigusa Sana hii....ni ya maisha halisi , nitamtumia huyu mtoto Zawadi ya Krismass mwaka huu.
Siku umebakiza kazi moja tu kubumba picha tu.View attachment 127158
Katibu Mkuu Dkt. Slaa akihutubia mkutano wa hadhara Tabora Mjini, jioni hii baada ya kuwa ametokea Ugoweko na Kakola...