Dkt. Slaa Tabora leo, picha...

Dkt. Slaa Tabora leo, picha...

faizafoxy na migulu chemba wanasema ni picha ya 2010 aliponyang'anywa urais
 
CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA

WEEE ACHA TU HIKI CHAMA KWELI NI MPANGO WA MUNGU NA KILA APITAPO Dr. SLAA SHETANI UTIMKA MBIO.
 
Arythrocyte, hapa Katibu Mkuu akiambatana na viongozi wa chama, kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Kanda, Shaaban Mambo na kulia kwake ni Diwani wa Viti Maalum CHADEMA, Kata ya Kakola...msafara unakwenda kupata chakula cha mchana kilichoandaliwa na wanakijiji wa Kakola...

View attachment 127162
asante sana kamanda , japokuwa nilikuwa nimeagiza supu mahali fulani lakini naitelekeza hata kama nimelipa , ngoja nikakae mahali tulivu , nijionee mambo ya TABORA .
 
Sijaona watu wakekunja ngumi za pp, nina mashaka kama 80% si ccm
 
View attachment 127158

Katibu Mkuu Dkt. Slaa akihutubia mkutano wa hadhara Tabora Mjini, jioni hii baada ya kuwa ametokea Ugoweko na Kakola...


Na hii hapa chini pia ni ya leo Tabora Fananisha mwenyewe:

1465236_383775048434659_1371015837_n.jpg
 
CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA,CHADEMA

WEEE ACHA TU HIKI CHAMA KWELI NI MPANGO WA MUNGU NA KILA APITAPO Dr. SLAA SHETANI UTIMKA MBIO.


Hakika Mkubwa wangu! Pamoja tutafika!
ccm wana pesa CDM wana MUNGU!
 
Hii thread itaenda mwendo wa konokono. Mbele ya picha hizi ambazo zinawapa maumivu makali Lumumba group na pro-CDM hakuna wa kuchangia labda kwa kujikokota na kujifariji huku wakifa kisomi..

Sio kila anaefika kwenye mkutano wa chama ni mwanachama wa chama na kuthibitisha hilo hebu weka idadi ya wanachama wa Tabora wako wangapi na waliokuja kwenye kikao wangapi
 
Tunashukuru wananchi kwa kugundua propaganda za ccm na kuzipuuza... sasa tuna endelea na ujenzi wachama bila pressure na matarajio yetu yapo palepale ( Kutwaa Dola 2015 )
 
Safi sana mkuu! Wale vijana wa buku 7 na prozitto tunawasubiri hapa.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
DSC_9108.JPG

Katibu Mkuu akizungumza na wananchi wa Kakola, Tabora, mkutano wake wa kwanza mapema leo asubuhi.
 
hapo ni tabora..ngome ya ccm. kwa mtu anaekebeh umati huo ajue ndo kwanza chama knajijenga....
 
Naona upande wa pili wamejipaka kiwi machoni hawaoni hii thread maana naona kimyaaaaa!hongereni sana cdm pigeni kazi tena tafuteni ushawishi kwa all she gender.
 
Hapa akikaribishwa Ugoweko ambako alifika kuweka jiwe la msingi la tawi la kijiji hicho. Mwenyekiti wa tawi hilo ametoa kiwanja chake takriban ekari moja kwa chama ili ijengwe ofisi.

View attachment 127166

So natural young lady from the humble family ...picha imenigusa Sana hii....ni ya maisha halisi , nitamtumia huyu mtoto Zawadi ya Krismass mwaka huu.
 
Back
Top Bottom