mr_politician
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 632
- 442
Dr Wilbroad Slaa katu hakushushiriki katika mapambano ya kudai demokrasia ya vyama vingi kwani kama walivyokuwa wachumia tumbo wote nyakati hizo, hakuwa na ujasiri huo. Ni pale alipotupwa nje baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge kupitia chama hicho cha Majizi, CCM, ndipo alipodandia treni ya Chadema na kupata ufadhili wa kugombea nafasi hiyo.
Nyie watoto mliozaliwa kwenye mikesha ya mwenge historia kama hizi mtazijulia wapi?
umetisha mkuu