Dkt. Sebi kielelezo cha Waafrika kukataliwa Tiba zao. Alikufa kifo chenye utata baada ya ugunduzi wa Dawa ya UKIMWI

Kabla ya kuja Wazungu mababu zetu waliishi hawakufa na walivumbua vitu vingi ikiwemo viwanda

Naamini wasingekuja tungekuwa mbali sana hizo nguruwe zimetuchelewesha
 
"Mei 28, 2026 alikamatwa na kosa la utakatishaji pesa baada ya kumkamata na dola 37,000 mkononi bila maelezo kazipata wapi huku wakijua kabisa alikuwa anaingiza dola 3,000 kwa siku."

USIKU MWEMA WADAU
 
Mtengeneza makala awe na hatari zaidi ya muhusika mwenyewe wakati wa uhai wake?
 
Ingeingia mara ngapi sokoni wakati tayari alikiwa anatengeneza na kuuza?
 
Dr.Sebi hakuwa mwafrica alikuwa mtu mweusi sio weusi wote wametokea bara la Africa....Dr Sebi alikuwa mzungu ni Honduras...
 
Uyo alikuwa tapeli kama Dr mwaka au Babu wa loliondo
 
Siku zote Mzungu haitatokea ampende mtu Mweusi akimpenda ujue wana ajenda nyuma ya pazia

Bahati mbaya tumepumbazwa kwa kudharau vya kwetu na kuamini upumbavu wao
Mtanzania akimuona mtu anauza traditional medicine anamdharau
Ni kama ulivyo brainwashed na CCM ukimuona mpinzani una mdharau unatamani kumuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…