PostGE2025 Dkt. Rioba wa TBC: Mwenyezi Mungu ameyafunga maandamano yoyote yale Tanzania. Ameniambia atamalizana na wanaopanga kuliangamiza Taifa

PostGE2025 Dkt. Rioba wa TBC: Mwenyezi Mungu ameyafunga maandamano yoyote yale Tanzania. Ameniambia atamalizana na wanaopanga kuliangamiza Taifa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
Mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania (TBC) kupitia ukurasa wake wa Facebook ameweka wazi maono ambayo amedai kuoneshwa na Mwenyezi Mungu.

"Mwenyezi Mungu amenifunulia kwamba njama zote za kuivuruga Tanzania hazitafanikiwa! Amenionesha kuwa ameyafunga maandamano yoyote yale Tanzania na kwamba kila mwenye hila na nia mbaya kwa Nchi ya Tanzania yeye Mwenyezi Mungu, atashughulika naye.

Mwenyezi Mungu ameniambia atamalizana na wanaopanga kuliangamiza Taifa letu! Ninarudia tena ndugu zangu Watanzania.

Mwenyezi Mungu mwenyewe ataisimamia Tanzania na wote walioipangia mabaya atashughilika nao! Tanzania itabaki kisima cha amani na yeyote anayeitakia shari, hukumu yake itatimia ndani ya Disemba! Mimi siyo nabii ila ninawahakikishia kuwa baada ya ujumbe huu wa leo, sitaongea tena!

Endapo niliyoyasema leo hayatatimia, basi msisome tena chochote nitakachoandika hapa kwani kitakuwa ni uongo! Sitaandika tena endapo hayo hayatatimia!"
 
Mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania (TBC) kupitia ukurasa wake wa Facebook ameweka wazi maono ambayo amedai kuoneshwa na Mwenyezi Mungu.

"Mwenyezi Mungu amenifunulia kwamba njama zote za kuivuruga Tanzania hazitafanikiwa! Amenionesha kuwa ameyafunga maandamano yoyote yale Tanzania na kwamba kila mwenye hila na nia mbaya kwa Nchi ya Tanzania yeye Mwenyezi Mungu, atashughulika naye.

Mwenyezi Mungu ameniambia atamalizana na wanaopanga kuliangamiza Taifa letu! Ninarudia tena ndugu zangu Watanzania.

Mwenyezi Mungu mwenyewe ataisimamia Tanzania na wote walioipangia mabaya atashughilika nao! Tanzania itabaki kisima cha amani na yeyote anayeitakia shari, hukumu yake itatimia ndani ya Disemba! Mimi siyo nabii ila ninawahakikishia kuwa baada ya ujumbe huu wa leo, sitaongea tena!

Endapo niliyoyasema leo hayatatimia, basi msisome tena chochote nitakachoandika hapa kwani kitakuwa ni uongo! Sitaandika tena endapo hayo hayatatimia!"
Wanaoivuruga TZ ni hao WAHUNI wanaoteka wazalendo ,ni hao WAHUNI wanaouza rasilimali zetu kwa waarabu ,ni hao WAHUNI ambao hawataki kuleta katiba mpya ,hawaheshimu kura za wananchi kwa kutuletea TUME HURU.

#KATAA WAHUNI
#FREE POLEPOLE ,JUSTICE FOR SOKA ,MDUDE ,CHAULA ,SAANANE
#D9 AFILE MUNU ASIGALE MUNU SHOW SHOW ,USITOKE KINYONGE ,JIKOKI.
 
Alikuwa ameshakunywa kinywaji chake pendwa nini?.....
Vijana acheni ulevi
 
Wameanza kupush # za maandamano wahuni hawa 😂😂
 
Ujinga huo. Kwa hiyo hao watawala wanaoteka kila siku ndo wanasababisha amani?

Atakuwa anapigania ugali wake bila shaka. Anahisi asipo ongeza uchawa na kujipendekeza atateuliwa mwingine kushika hiyo nafasi
 
Back
Top Bottom