Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

Ukichanganya na mke wake yule ina maana kwenye familia mzee amesha zika watu 6 🫢
 
Dah! Watoto wa Mzee wamefariki wengi. Si ndio pamoja na Le Mutuz na yule dada aliwahi kua Mkurugenzi wa NIMR?
 
Mimi natamani kufahamu mahali alipo. Yale maelezo ya Jaji mstaafu Joseph Warioba yanafikirisha sana. Kumshikilia mtu wa hadhi ya Makamu wa Rais, si dalili njema hata kidogo.
Alishikiliwa jumbe aliekua Rais wa sirikali ya mapinduz na makamo wa kwanza wa Rais...so hakuna jipya chini ya jua
 
Kama hii story ni kweli basi karma hakika ipo..inawezekana makamu analipia karma though ni miaka zaidi ya 25 nyuma imepita
 
Mengi ya kusimulia ila machache ni kumbukumbu yenye kuvutia ,tuko tunapambana na wana akina Nel na Sydon kuweka sawa mambo ya mziki ,eti kusherekea sherehe ya Ipy ameshinda uenyekiti ,ghafla bin vuu mwanetu kitunda anatokea Tandika na tax lake la blue ameikimbiza kuelekea tulipo .

Mimi kama dogo kwa wote nasikilizia wakubwa wanasema nini juu ya mwendo wa braza Kitunda ,Hemedi picha anasema mwanenu kashalewa ukiona hivyo .

Isivyo tarajiwa anashuka akiwa wima mithiri ya afande baba sharifu hapepesi macho wala kuyumbisha mwili ila anasema dili limebuma ,mwanetu kashakula mchanga huko 😪 ,hakuna anayeamini kila mtu anatoa macho kama mjusi aliyabanwa na mlango .

Baraza kide anatuambia tupande kwenye rover lake twende kwa Ipy tuhakiki hyo maneno ,kufika huko the rest ni history ya huzuni tu .

Keep resting Ipyana A.K.A Ipy ,keep resting kaka mkubwa Lemutuz ,ikiwa kuna kukutana tutakuna tena .🥲
 
Huyu si alidai ana list ya drug dealers, ndio wenyewe wakapita nae fasta.
Aliutaka uenyekiti wa yuvisisyem, akajichanganya huko bungen et ana list ya wauza sembe, hapo ndipo nafas ilipatkana..ikabak stry wauza dona ndo wameimaliza kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…