GE2025 Dkt. Mwinyi: Kwenye Kampeni huwasikii wenzetu akihubiri amani, unasikia siasa za Chuki, Uongo na Ubaguzi

GE2025 Dkt. Mwinyi: Kwenye Kampeni huwasikii wenzetu akihubiri amani, unasikia siasa za Chuki, Uongo na Ubaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Mgombea wa Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza alipokutana na makundi ya vijana wa CCM kisiwani Pemba, katika mwendelezo wa mikutano yake ya kampeni, hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba tarehe 7 Oktoba 2025.


 
Kama akina Jussa wale majamaa wanafadhili makundi ya kigaidi
 
Kuteka na kuua wapinzani na wakosoaji wa CCM ndio kuhubiri amani anakukuoongelea huyo Mwinyi?

Au anazungumzia kuhubiri amani gani?
 
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza alipokutana na makundi ya vijana wa CCM kisiwani Pemba, katika mwendelezo wa mikutano yake ya kampeni, hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba tarehe 7 Oktoba 2025.
 
Mtekaji na mlawiti Ni yupi anachochea chuki na kuharibu amani?

By the way hakuna mtu wanashindana naye?
 
Anaogopa Gen Z anaanza kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
 
Mgombea wa Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza alipokutana na makundi ya vijana wa CCM kisiwani Pemba, katika mwendelezo wa mikutano yake ya kampeni, hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba tarehe 7 Oktoba 2025.
Nilishauri Mwinyi Thread 'Ushauri wa Bure kwa Dkt. Hussein Mwinyi: Mfute Kazi Haraka Othman Masoud Kabla Hajaendelea Kueneza Sumu' Ushauri wa Bure kwa Dkt. Hussein Mwinyi: Mfute Kazi Haraka Othman Masoud Kabla Hajaendelea Kueneza Sumu
Hivyo hayo ni matokeo!

P
 
Mgombea wa Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza alipokutana na makundi ya vijana wa CCM kisiwani Pemba, katika mwendelezo wa mikutano yake ya kampeni, hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba tarehe 7 Oktoba 2025.

Naye tunamsikia akiubili amani amani tu, mbona hatumsikii akiubiri haki haki na kutenda haki
 
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza alipokutana na makundi ya vijana wa CCM kisiwani Pemba, katika mwendelezo wa mikutano yake ya kampeni, hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba tarehe 7 Oktoba 2025.

Arudi kwao Mkuranga tumemchoka kwa udanganyifu na wizi. Huyu ilitakiwa akatwe mkono kwa anavyoiba mchana kweupe
 
Umemsikiliza anachotaka kuhusu huu muungano wetu adhimu?.
Umemwelewa nini?, tuanzie hapo.
P
Anachotaka kuhusu muungano ni mlete huo mkataba tuangalie nchi mbili zilikubaliana kitu gani , baadaye tuangalie Ile Pesa ya Zanzibar iliyoibiwa na Nyerere wakati wa kuvunjika jumuia ya Afrika Mashariki imeleta faida ngapi na Zanzibar ilipwe haki yake. Tushirikiane Kama nchi mbili zilizoungana na sio kufanywa watumwa wa Tanganyika Kama hivi Sasa. Zaidi msikilize hapa anavyosema , uniambie lipi hapo lililo baya ?


View: https://youtu.be/SfkkUKD3_zw?si=76jIEg_n3xiqmVbp
 
Anachotaka kuhusu muungano ni mlete huo mkataba tuangalie nchi mbili zilikubaliana kitu gani , baadaye tuangalie Ile Pesa ya Zanzibar iliyoibiwa na Nyerere wakati wa kuvunjika jumuia ya Afrika Mashariki imeleta faida ngapi na Zanzibar ilipwe haki yake. Tushirikiane Kama nchi mbili zilizoungana na sio kufanywa watumwa wa Tanganyika Kama hivi Sasa. Zaidi msikilize hapa anavyosema , uniambie lipi hapo lililo baya ?
Mkuu Jagi, Jagina , kwanza Asante kwa clip hii, nimeisikiliza yote mwanzo mwisho, huyu mtu wenu boys sana!, anazungumza ka. ... Kuna mtu wa kumpa nchi huyu?!.

Kiukweli na hili nalisema toka ndani ya moyo wangu, huyu ni mwanasheria boya tuu mvunja muungano asiyeujua msingi wa muungano na kuuita ndoa ya jinsia moja, wakati msingi halisi wa huu muungano wetu adhimu, ni kuna binti mrembo Zanzi, akajibebisha kwa Tanganyika, allowed ili apewe ulinzi na Tanganyika badala ya yule bwana wake Mungereza.

Muungano wetu una mke na mume, mke anakula bure, anavishwa na kuhudumiwa huduma zote bure huku mume ndio akimenyeka. Thread 'Tangu lini Mke Ndani Ya Ndoa Akaomba Uhuru ili Kutoka Nje Ya Ndoa? Aruhusiwe?' Tangu lini Mke Ndani Ya Ndoa Akaomba Uhuru ili Kutoka Nje Ya Ndoa? Aruhusiwe?

OMO hajui kuwa muungano wetu ni muungano wa union ya nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar, kuungana na zote kupoteza souverenity zake na kuunda nchi moja tuu ya JMT , Thread 'Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?' Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?

Kwa sasa hakuna tena nchi inayoitwa Tanganyika wala nchi inayoitwa Zanzibar, nchi ni moja tuu Tanzania, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya Tanzania yenye utawala wake wa ndani, lakini Zanzibar sio nchi, Nje ya muungano, muungano wetu ni wa union ya nchi moja, ila ndani ya muungano, muungano wetu ni federation ya nchi mbili. Usawa gani huo anao udai?.

Wenzetu kabla ya kufunga ndoa huwa wana saint pre nauter agreement za mali za kabla ya ndoa zisiwe mali za ndoa. By the time EAC Currency board inavunjika, Zanzibar tayari ni mke wa mtu hivyo mali yake ikachukuliwa na mumewe kuwa mali ya ndoa. Usimtukane Nyerere mwizi tusije chafukwa humu tukatoleana maneno makali.

Katika ya Zanzibar ya 2020 Zanzibar inayo jiita nchi, haitambuliwa na katiba ya JMT. Huyu ni mpinga muungano tuu, tena kwa taarifa ni mimi nikajitolea kumshika sikio Dr Shein Thread 'Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii' Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii

Hata Dr Mwinyi nilishauri Thread 'Ushauri wa Bure kwa Dkt. Hussein Mwinyi: Mfute Kazi Haraka Othman Masoud Kabla Hajaendelea Kueneza Sumu' Ushauri wa Bure kwa Dkt. Hussein Mwinyi: Mfute Kazi Haraka Othman Masoud Kabla Hajaendelea Kueneza Sumu

Kila siku Zanzibar CUF walikuwa wanashinda lakini hawatangazwi, this time ushindi wa CCM ni ile kura ya mapema, hili boya lenu lisubiri tuu ving'ora!
P.
 
Mkuu Jagi, Jagina , kwanza Asante kwa clip hii, nimeisikiliza yote mwanzo mwisho, huyu mtu wenu boys sana!, anazungumza ka. ... Kuna mtu wa kumpa nchi huyu?!.

Kiukweli na hili nalisema toka ndani ya moyo wangu, huyu ni mwanasheria boya tuu mvunja muungano asiyeujua msingi wa muungano na kuuita ndoa ya jinsia moja, wakati msingi halisi wa huu muungano wetu adhimu, ni kuna binti mrembo Zanzi, akajibebisha kwa Tanganyika, allowed ili apewe ulinzi na Tanganyika badala ya yule bwana wake Mungereza.

Muungano wetu una mke na mume, mke anakula bure, anavishwa na kuhudumiwa huduma zote bure huku mume ndio akimenyeka. Thread 'Tangu lini Mke Ndani Ya Ndoa Akaomba Uhuru ili Kutoka Nje Ya Ndoa? Aruhusiwe?' Tangu lini Mke Ndani Ya Ndoa Akaomba Uhuru ili Kutoka Nje Ya Ndoa? Aruhusiwe?

OMO hajui kuwa muungano wetu ni muungano wa union ya nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar, kuungana na zote kupoteza souverenity zake na kuunda nchi moja tuu ya JMT , Thread 'Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?' Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?

Kwa sasa hakuna tena nchi inayoitwa Tanganyika wala nchi inayoitwa Zanzibar, nchi ni moja tuu Tanzania, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya Tanzania yenye utawala wake wa ndani, lakini Zanzibar sio nchi, Nje ya muungano, muungano wetu ni wa union ya nchi moja, ila ndani ya muungano, muungano wetu ni federation ya nchi mbili. Usawa gani huo anao udai?.

Wenzetu kabla ya kufunga ndoa huwa wana saint pre nauter agreement za mali za kabla ya ndoa zisiwe mali za ndoa. By the time EAC Currency board inavunjika, Zanzibar tayari ni mke wa mtu hivyo mali yake ikachukuliwa na mumewe kuwa mali ya ndoa. Usimtukane Nyerere mwizi tusije chafukwa humu tukatoleana maneno makali.

Katika ya Zanzibar ya 2020 Zanzibar inayo jiita nchi, haitambuliwa na katiba ya JMT. Huyu ni mpinga muungano tuu, tena kwa taarifa ni mimi nikajitolea kumshika sikio Dr Shein Thread 'Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii' Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii

Hata Dr Mwinyi nilishauri Thread 'Ushauri wa Bure kwa Dkt. Hussein Mwinyi: Mfute Kazi Haraka Othman Masoud Kabla Hajaendelea Kueneza Sumu' Ushauri wa Bure kwa Dkt. Hussein Mwinyi: Mfute Kazi Haraka Othman Masoud Kabla Hajaendelea Kueneza Sumu

Kila siku Zanzibar CUF walikuwa wanashinda lakini hawatangazwi, this time ushindi wa CCM ni ile kura ya mapema, hili boya lenu lisubiri tuu ving'ora!
P.

Kwa haya uliyoyaandika wacha Samia na Abdul wake awabinye kende, mpate akili. Kura ya mapema haikuanza mwaka huu. Kama mnaona nchi yetu ni mali yenu , tutaendelea kuwabinya kende tu. Kuna video Polepole akimmtambia hivyo hivyo Maalim, Leo msukuma yuko wapi na tambio zake ? Hayo maneno kuwa muungano ni wa nchi moja hayo ni maneno ya Pengo aliyatoa kanisani . Tunaelewa mnatupiga vita kwa sababu ya dini yetu ya uislamu
 
Kwa haya uliyoyaandika wacha Samia na Abdul wake awabinye kende, mpate akili. Kura ya mapema haikuanza mwaka huu. Kama mnaona nchi yetu ni mali yenu , tutaendelea kuwabinya kende tu. Kuna video Polepole akimmtambia hivyo hivyo Maalim, Leo msukuma yuko wapi na tambio zake ? Hayo maneno kuwa muungano ni wa nchi moja hayo ni maneno ya Pengo aliyatoa kanisani . Tunaelewa mnatupiga vita kwa sababu ya dini yetu ya uislamu
Hakuna kitu kizuri kama kuwa mkweli toka ndani ya nafsi yako, usisingizie choking za kidini,
  1. Aliye initiate muungano ni Zanzibar ili sultan asirudi
  2. Ulipaswa kuchangiwa, Zanzibar haichangii hata senti 5!.
  3. Deni la Umeme mmesamehewq, hivyo umeme ni kama mnapewa bure!, kuna siku yoyote mmewahi kusikia bara tumepewa umeme bure?.
  4. Mnapewa 4.5% ya fedha zote za mikopo na misaada, lakini wakati wa kulipa ni bara pekee tunalipa zote!.
  5. Zanzibar ilipaswa kuchangia gharama za uendeshaji muungano, ilichangia ile mwaka 64 na 65 tuu, baada ya hapo, haichangii chochote ni bara pekee tunagharimia kila kitu, Zanzibar kula kulala, huyu si mke!.
  6. Tanzania ni nchi moja ya JMT, mnapitisha katiba na kujiita nchi!, ni kuvunja katiba, tumenyamaza kwasababu ni mambo yenu ya ndani lakini katiba ya JMT, haiyatambui haya.
  7. Kuna mengi yanatia hasira ila tunavumilia, kwasababu tumependa tumekufa, tumeoza.
  8. Watu hamna Shukrani kwa yote tunayowatendea kila siku ni ghubu!.
  9. Nilishauri Thread 'Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja' Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja
P
 
Mgombea wa Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza alipokutana na makundi ya vijana wa CCM kisiwani Pemba, katika mwendelezo wa mikutano yake ya kampeni, hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba tarehe 7 Oktoba 2025.

Nanyi toka mmeanza kampeni nao wanashangaa hamjawahi kuongea neno HAKI, kama kichwa chako kiko sawa Hussein Mwinyi ujue kuwa HAKI ndiyo huzaa AMANI.
 
Hakuna kitu kizuri kama kuwa mkweli toka ndani ya nafsi yako, usisingizie choking za kidini,
  1. Aliye initiate muungano ni Zanzibar ili sultan asirudi
  2. Ulipaswa kuchangiwa, Zanzibar haichangii hata senti 5!.
  3. Deni la Umeme mmesamehewq, hivyo umeme ni kama mnapewa bure!, kuna siku yoyote mmewahi kusikia bara tumepewa umeme bure?.
  4. Mnapewa 4.5% ya fedha zote za mikopo na misaada, lakini wakati wa kulipa ni bara pekee tunalipa zote!.
  5. Zanzibar ilipaswa kuchangia gharama za uendeshaji muungano, ilichangia ile mwaka 64 na 65 tuu, baada ya hapo, haichangii chochote ni bara pekee tunagharimia kila kitu, Zanzibar kula kulala, huyu si mke!.
  6. Tanzania ni nchi moja ya JMT, mnapitisha katiba na kujiita nchi!, ni kuvunja katiba, tumenyamaza kwasababu ni mambo yenu ya ndani lakini katiba ya JMT, haiyatambui haya.
  7. Kuna mengi yanatia hasira ila tunavumilia, kwasababu tumependa tumekufa, tumeoza.
  8. Watu hamna Shukrani kwa yote tunayowatendea kila siku ni ghubu!.
  9. Nilishauri Thread 'Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja' Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja
P

Kama ni hayo kumbe ndio maana mnakuja kutuuwa kila uchaguzi kuweka vibaraka vyenu
 
Back
Top Bottom