Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Gen Z upepo wao unavuma muda wowote! Kwahiyo usishangae ukawaona tena!
============
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo amekagua Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kisesa iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza ambayo imeharibiwa na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025.
Akizungumza na wananchi wa eneo hilo, amesema Rais Samia Suluhu alishatoa msamaha kwa vijana walioshiriki kwenye tukio hilo ambao walifuata mkumbo, hivyo serikali haitarajii watarudia vitendo hivyo tena.
============
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo amekagua Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kisesa iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza ambayo imeharibiwa na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025.
Akizungumza na wananchi wa eneo hilo, amesema Rais Samia Suluhu alishatoa msamaha kwa vijana walioshiriki kwenye tukio hilo ambao walifuata mkumbo, hivyo serikali haitarajii watarudia vitendo hivyo tena.