Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,709
- 9,030
" Wanawake wengi hawana hisia... hawasemi tu lakini wako wengi na ukiongea nao wanakwambia wako ndani ya ndoa wana watoto wawili, watatu, wanne lakini ukimuuliza hivi lini umewahi kufika mwisho wa safari anauliza ndio vipi hivyo mbona mie sielewi? "Kwani na Mwanamke huwa anafika mwisho wa safari?".
"Hawajui na wapo kwenye ndoa. Unapaswa ufanye lile tendo huku ukilifurahia, lile ni tendo la furaha na kama hulifurahii, kama huna hamu nalo, kama hufiki katika kilele cha furaha ina maana kwamba una matatizo. Kwa hiyo nafikiri ipo pia haja ya kufikisha elimu kwa hawa kinamama, Wanawake na kinadada".
Amesema Dkt. Juma Mwaka @dr.mwaka kwenye Sasambu ya TBC FM
"Hawajui na wapo kwenye ndoa. Unapaswa ufanye lile tendo huku ukilifurahia, lile ni tendo la furaha na kama hulifurahii, kama huna hamu nalo, kama hufiki katika kilele cha furaha ina maana kwamba una matatizo. Kwa hiyo nafikiri ipo pia haja ya kufikisha elimu kwa hawa kinamama, Wanawake na kinadada".
Amesema Dkt. Juma Mwaka @dr.mwaka kwenye Sasambu ya TBC FM
