jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Kipyenga kimelia huko SIHA...Dr Godwin Mollel kama kawaida amelakiwa na wananchi wa kutosha na kumuahidi kumrejesha mjengoni akiwa upande wa CCM chama kinachoongoza na kushika hatamu.
Tukumbuke kuwa wabunge wengi wa Chadema wanakubali mabadiliko yanayoletwa na Serikali ya Magufuli ingawa wametiwa kufuli na viongozi wao wa Chama na kuitwa wasaliti kila wanapojaribu kushirikiana na Serikali ya CCM.Hii ndio sababu iliyomfanya Dr Mollel ambaye ni jembe msema kweli kwenye haki kuamua kujiondoa Chadema ili awe katika nafasi adhimu na rahisi ya kuwatetea wananchi wake wa SIHA.
Kama ni match CCM inaenda kukamilisha ratiba tu...kombe tayari liko mikononi.