Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Miaka mitano ijayo tutawakatia bima ya Afya Wananchi wote wa Tanzania

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema kwa miaka mitano ijayo wakipata ridhaa kutoka kwa wananchi watakata bima ya afya kwa kila mwananchi.

Amesema kwanza walikuwa wanaboresha miundombinu na kwa miaka mitano anayoimaliza tayari wameshajenga hospitali na vituo vya afya vya kutosha zoezi linalofuata ni kuwakatia bima watu wote milino 60 waliopo Tanzania.

Amesema jambo la kumpa bima kila mwananchi linawezekana kwa kuwa wanafahamu hela za kutimiza hilo watakapozitoa.

Amesema hadi sasa wameshaajiri madaktari zaidi ya 1,000 na watumishi wa afya zaidi ya 14,000. Anasema wamepanga kwa kuwa wanajua watakavyotekeleza.
Sio Matibabu ni Bure?
Ya nin Bima?
 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema kwa miaka mitano ijayo wakipata ridhaa kutoka kwa wananchi watakata bima ya afya kwa kila mwananchi.

Amesema kwanza walikuwa wanaboresha miundombinu na kwa miaka mitano anayoimaliza tayari wameshajenga hospitali na vituo vya afya vya kutosha zoezi linalofuata ni kuwakatia bima watu wote milino 60 waliopo Tanzania.

Amesema jambo la kumpa bima kila mwananchi linawezekana kwa kuwa wanafahamu hela za kutimiza hilo watakapozitoa.

Amesema hadi sasa wameshaajiri madaktari zaidi ya 1,000 na watumishi wa afya zaidi ya 14,000. Anasema wamepanga kwa kuwa wanajua watakavyotekeleza.
nacheka kwa dharau
 
Ilani yenu haizungumzii hilo suala hata kidogo.
Suala la Bima za Afya kwa watanzania wote ni ya Chadema na Mh. Lissu na wameisema vzr kwenye ilani ya uchaguzi.
Wewe ni muongo na mwenye kuegezea kwa wengine na hauna mpango wa kutimiza hilo.
Haufai kuwa Rais wa nchi hii.
Miaka mitano iliyoisha imekuwa michungu sana kwa taifa hili.
Tunahitaji haki kwa watanzania, uhuru kwa watanzania, na maendeleo ya watu.
 
Hizi comments zinaonyesha ni namna gan hawa ccm wamechokwa,, ukiwauliza wanasema hili ni kundi dogo la mitandaon sasa najiuliza ukienda twitter hapafai hamna anaetaka sikia neno ccm, ukija hapa ndio kabisa, ukipita vijiwen hapafai kabiss, ukienda vijijin wazee wanatoa machoz waonapo upinzani sasa najiuliza hilo kundi lao kubwa liko waap?
NECCCM
 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema kwa miaka mitano ijayo wakipata ridhaa kutoka kwa wananchi watakata bima ya afya kwa kila mwananchi.

Amesema kwanza walikuwa wanaboresha miundombinu na kwa miaka mitano anayoimaliza tayari wameshajenga hospitali na vituo vya afya vya kutosha zoezi linalofuata ni kuwakatia bima watu wote milino 60 waliopo Tanzania.

Amesema jambo la kumpa bima kila mwananchi linawezekana kwa kuwa wanafahamu hela za kutimiza hilo watakapozitoa.

Amesema hadi sasa wameshaajiri madaktari zaidi ya 1,000 na watumishi wa afya zaidi ya 14,000. Anasema wamepanga kwa kuwa wanajua watakavyotekeleza.
Milioni 50 kila kijiji
 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema kwa miaka mitano ijayo wakipata ridhaa kutoka kwa wananchi watakata bima ya afya kwa kila mwananchi.

Amesema kwanza walikuwa wanaboresha miundombinu na kwa miaka mitano anayoimaliza tayari wameshajenga hospitali na vituo vya afya vya kutosha zoezi linalofuata ni kuwakatia bima watu wote milino 60 waliopo Tanzania.

Amesema jambo la kumpa bima kila mwananchi linawezekana kwa kuwa wanafahamu hela za kutimiza hilo watakapozitoa.

Amesema hadi sasa wameshaajiri madaktari zaidi ya 1,000 na watumishi wa afya zaidi ya 14,000. Anasema wamepanga kwa kuwa wanajua watakavyotekeleza.
Ghilba
 
Plagiarism... :D 😂
Aisee, mil50 kila kijiji tiyari??

Watanzania nichagueni, nitawaletea pipi eeh!
Hivi daah wanatuona tu wepesi kiasi hiko??

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Tuliopo tu kwenye bima dawa tu tunabaguliwa hao wote watapewa nini! Dawa zakupewa wanachama wanachagua chagua akwende huko!
 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema kwa miaka mitano ijayo wakipata ridhaa kutoka kwa wananchi watakata bima ya afya kwa kila Mwananchi.

Amesema kwanza walikuwa wanaboresha miundombinu na kwa miaka mitano anayoimaliza tayari wameshajenga hospitali na vituo vya afya vya kutosha zoezi linalofuata ni kuwakatia bima watu wote milino 60 waliopo Tanzania.

Amesema jambo la kumpa bima kila mwananchi linawezekana kwa kuwa wanafahamu hela za kutimiza hilo watakapozitoa.

Amesema hadi sasa wameshaajiri madaktari zaidi ya 1,000 na watumishi wa afya zaidi ya 14,000. Anasema wamepanga kwa kuwa wanajua watakavyotekeleza.
Laptop Kwanza kwa walimu wetu...na mil50 kila kijiji
 
Back
Top Bottom