..kwa hiyo ccm wanamuunga mkono Tundu Lissu?
..tulikuwa mwezi mzima tunabishana kuhusu suala hili.
..na makada watiifu wa ccm wakisema haiwezekani Tz na bima ya afya kwa wananchi wote.
..ushabiki wa vyama wakati mwingine ni mbaya sana.
cc Kilatha
Kuna siku nimeona wakina polepole nao wanapiga wimbo wa ONE LOVE kwny mkutano wao,nikajua dawa imeanza kuwaingia.Kampeni meneja na mtengeneza hotuba wa sasa hivi yupo vizuri sana angeanza hivi tangu mwanzo na hulka zake watu wengi sana wangemwamini ila kwa kuwa hakuanza hivyo !! Hii itakuwa fix tuu.
Kwa nini Lissu asiwe yeye ndie mwizi?. Soma ilani ya CCM uk. 136 (e)Mwizi wa Sera za Lissu na ni Muongo asie na Kumbukumbu
Kiongozi thabiti ni yule mwenye uwezo wa kupanga vitu kwa sasa ili kuchagiza maendeleo ya baadae. Chagua MagufuliMgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema kwa miaka mitano ijayo wakipata ridhaa kutoka kwa wananchi watakata bima ya afya kwa kila mwananchi
Amesema kwanza walikuwa wanaboresha miundombinu na kwa miaka mitano anayoimaliza tayari wameshajenga hospitali na vituo vya afya vya kutosha zoezi linalofuata ni kuwakatia bima watu wote milino 60 waliopo Tanzania
Amesema jambo la kumpa bima kila mwananchi linawezekana kwa kuwa wanafahamu hela za kutimiza hilo watakapozitoa
Amesema hadi sasa wameshaajiri madaktari zaidi ya 1,000 na watumishi wa afya zaidi ya 14,000. Anasema wamepanga kwa kuwa wanajua watakavyotekeleza
Chama cha mbowe kilichofanya ni kucopy Ilani ya CCM na kuedit edit, taarifa zao tunazo. Chadema ni wezi muda wote. Tena wezi waliokubuhu.Kwa nini Lissu asiwe yeye ndie mwizi?. Soma ilani ya CCM uk. 136 (e)
View attachment 1607333
Vipengele limeongezwa usiku usiku hivyoKwa nini Lissu asiwe yeye ndie mwizi?. Soma ilani ya CCM uk. 136 (e)
View attachment 1607333
Mzee wa copy and paste haibuMkuu Magufuli katamka hivyo ili apate kura, lakini hana uwezo wa kutekeleza hilo akipita tena. Fahamu kuwa ana miradi miwili mikubwa ya 15t+ achia mambo mengine, na kwenye miradi hiyo hajafika hata 5t. Ni wapi atapata 10t, kisha atekeleze na hilo la bima ya afya?
Unafahamu maana ya neno Bima? Hayo mahesabu anayelipa ni nani? Au uadhani Bima ni ruzuku ya wstu wote. Ruzuku ya bima ni kwa makundi maalumu tu.Ahadi namba 1 ni ya uchaguzi wa mwaka 2015
Ahadi namba 2 ni ya uchaguzi wa mwaka 2020
Ngosha anaondoka uwanjani,Moshi Chadema imekufa kabisa.Vipengele limeongezwa usiku usiku hivyo
Mwanzo alisema haiwezekani leo amekubaliMwizi wa Sera za Lissu na ni Muongo asie na Kumbukumbu
Ameona upepo umegoma kesho atasema na mikopo kwa wanafunzi atashusha..kwa hiyo ccm wanamuunga mkono Tundu Lissu?
..tulikuwa mwezi mzima tunabishana kuhusu suala hili.
..na makada watiifu wa ccm wakisema haiwezekani Tz na bima ya afya kwa wananchi wote.
..ushabiki wa vyama wakati mwingine ni mbaya sana.
cc Kilatha
Kwa vitabu vyote vilivyosambazwa nchi nzima vmefanyiwa mazingaombwe usiku maandishi yakabadilika😂😂 Sitegemei nilisikie hili toka kwa Imhotep😂😂Vipengele limeongezwa usiku usiku hivyo
Vitu vya umuhimu vilikuwa sio vifaa tiba na huduma bora za kiafya, ila majengo ndio yalikuwa na umuhimu zaidi ya afya za watanzania.Ni aibu kubwa ,uzalilisjaji na fedheha hospitali za umma, wengi wanapoteza maisha mbele ya matabibu kwa kukosa madawa na vifaa tiba.