Are you normal?Ku renew contract sio uteuzi?
JPM for 2020-2025
Wewe si ulisema kaahirisha? Muda sio mrefu utashangaa watu mada zako hawasomi sababu wanakuona kuwa huko reliable
Kwanini hautaki Mh Jiwe kuwaeleza wana kagera aliko peleka hela za rambirambi?
Hapo ndipo anaponiacha hoi. Kila kona, ana ahidi vyeo! Kwa sasa hata push up atapiga. Atawaburudisha watu kwa kucheza, na kupiga ngoma.
We' subiri ashinde na kuapishwa, ndipo tutakapoona roho yake halisi ilivyo katili!
Sasa mbona kutwa yeye kuwasingizia wengine kuwa sio Raia? Anapata wapi ujasiri huu wa kiwendawazimu?Chato ilikuwa mkoa wa Kagera kabla ya kupelekwa Geita,hao wote ni vizazi vya wakimbizi wakihutu wa miaka ya 1800
Hayo mawazo yako. OK tunayaheshimu.Mkoa wa Kagera huyu mzee anakwenda kupoteza muda wake tu, hawajasahau kauli zake za hovyo wakati wa tetemeko.
Ni vizuri akitumia mkutano huu kuwaeleza rambirambi zao za tetemeko zimekwenda wapi?
Sawa na wale wanaosema wakichaguliwa watafuta kodi lakini sasa hivi wanachangisha kwenye mikutano iko vipi hiiMkoa wa Kagera huyu mzee anakwenda kupoteza muda wake tu, hawajasahau kauli zake za hovyo wakati wa tetemeko.
Ni vizuri akitumia mkutano huu kuwaeleza rambirambi zao za tetemeko zimekwenda wapi?
zimejenga shule ya sekondari IhungoMkoa wa Kagera huyu mzee anakwenda kupoteza muda wake tu, hawajasahau kauli zake za hovyo wakati wa tetemeko.
Ni vizuri akitumia mkutano huu kuwaeleza rambirambi zao za tetemeko zimekwenda wapi?
Na shule ya secondary Omumani ikiwa chini ya CCM, kisha ikabinfsishwa kuua soo.zimejenga shule ya sekondari Ihungo
watu wa mitandaoni mnaugua gonjwa baya sana
lami Muleba- Kanyambogo...na sasa Kanyambogo- Nshamba!......
Rambirambi zilijenga shule Ihungo, zahanati, vituo vya afya pamoja nai vifaa tiba au wewe ulitaka zifanye nini Kamanda?
iwe malemwa aka Uchovu!We acha kuongea uongo
Hiyo barabara imeisha mmeshindwa kumaliza ya Rubya to Muleba mwaka wa nne sasa kilometre kidogo mtaweza ya nshamba?
Kituo kipi cha afya unachobwabwaja nacho
Nshamba kuna kituo gan tofauti na kutegemea cha Lutheran na hospital ya Rubya uwe na oja ya msingi
Na pesa zilikuwa za kufanya hiyo kazi?
Na matumbo hayo huliwa na Safura baada ya kuwekewa tani 9 za udongo kifuani.Yote hiyo ni kumtukuza binadamu kuliko Mungu, wakitumia matumbo kufikiri badala ya ubongo.