mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,039
Inaelekea pesa alikuwa nayo ila nadhani alishadhulumiwa bila yeye kuwa na habari!
watanzania wengi wanaoenda urusi huishia kuvurugikiwa akili.
Nawafahamu zaidi yA watatu. Sijui kuna jambo gani (japo kuna exception ya wazanzibar)
Kuna mstari mdogo sana unaotenganisha genius na chiziBinafsi nimekosa jibu,either dingi ni genius au chizi....
Kwani huyu Dr. amesema anakunywa pombe?Kweli kabisa. Tatizo hili limewakumba wengi waliojihusisha na unywaji wa pombe kali za Kirusi. Si Wazanzibari tu ambao hawakuguswa na janga hili, kuna wale wa Bara ambao wameepuka kwa kutojihusisha na ulevi huo.
Wanaweza wakawa shida ni bajeti,lkn hata km ni bajeti unaweza umkapa MTU hata ushauri wa kumlink na nyumbani bongo akapata msaada,kuna mmoja Msumbiji alikuwa anakuambia jinsi ulivokuja ndo utakavorudi.Pia he seems to be very intelligent,alichosema juu ya balozi zetu ni kweli hazina msaada kwa Watanzania wakiwa nje ......wajitadhimini,sio mtu wa kwanza mwenye genuine problem...kujikuta anasaidiwa na ubalozi wa nchi nyingine hasa .UK Kwa...commonwealth umbrella au US
Can u prove ur words sir??That man is mentally ill.
It's sad.
Alikuwa anajitetea ili achomoke polisi. Ni IQ kubwa sana huyu mzee anayoMmmmmmmmh.
Pole sana.
Lakini, hela ya kununua had hizo nyumba anayoo maana; yeye mwenyewe juzi kasema alikuwa anataja 700, 800, 900 ila hajataja kabisa million 700 , million 800 au million 900!???
Atakuwa kadanganywa na matapeli wa mtandaoni ambao mara nyingi wanakutumia email kuwa umeshinda Dollar Kibao in the region of say 10,000. Mwisho wanakuomba taarifa zako za benki na kukutaka ulipie BIMA na kitu wanaita "Administrative cost" pesa kidogo kama dola 500 hivi ili wakutumie BULUNGUTU LAKO. Ukituma ndo kwa heri.Anasema akaunti yake INA Kama bilioni 20 hivi halafu hapo hapo anataka marafiki wamchangie laki 3 ili alipie bima hela zije.
Hivi inawezekanaje hii?.
Anataka ku justify maelezo yake. Huu utapeli ni wa kawaida sana na wanufanya wanigeria. Huyu mzee kakutana na hayo matapeli ya mtandaoni. Kuna jamaa aliwahi kufukuzwa kazi kwa kutaka apate dola 5000 awalipe wamhamishie pesa na akawa anatumia njia za kihalifu kupata hiyo $5000Mbona alisema ana Kampuni urusi
Alikuwa anajitetea ili achomoke polisi. Ni IQ kubwa sana huyu mzee anayo