Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,686
- 272,545
Tulionya mapema sana kwamba mikutano ya hadhara si kwa kila mtu.
Huko Vunjo Dr. Kimei amekiona cha moto kwa wananchi kukosekana kwenye mkutano wake wa hadhara ambao umeandaliwa kwa gharama kubwa, yaani hata vile viti 20 alivyoviandaa havikupata watu wa kuvikalia! Noma sana!
Onyo: Mikutano ya hadhara siyo semina za CRDB.
Huko Vunjo Dr. Kimei amekiona cha moto kwa wananchi kukosekana kwenye mkutano wake wa hadhara ambao umeandaliwa kwa gharama kubwa, yaani hata vile viti 20 alivyoviandaa havikupata watu wa kuvikalia! Noma sana!
Onyo: Mikutano ya hadhara siyo semina za CRDB.

