Doctor Kilangiee!! nakupinga sasa hatuwezi kuuza nchi kwa ajili ya makaratasi sasa!!!!!!
1. Umezungumzia suala la common heritage kuwa kwa kuwa baadhi ya nchi hazina madini basi iwe ruksa kwenda kuchota kwenye nchi zilizonayo .........Haikubalikiii!!!!! madini ni yetu na suala la madini si kama kwenye "high sea" amabapo kila mtu anaruhusiwa kutembea na kuvua ( shammba la bibi ) @ " RESCOMUNIIS"
2.Eti tutaenda kunyolewa bila maji huko ICSID kwa ku breach 'fair and equitable treatment' Hakuna hiyooo!!! wao wametutendea equity gani mpaka na sisi tuwatendee equity wanatuibia halafu waseme equity " IF YOU NEED EQUITY DO EQUITY:
3. Kwa kuwa hakuna mkataba wa kimataifa ambayo haina claus ya " PACTA SUNT SERVANDA" na kwa kuwa hao "mabwana wakubwa" hawakuiheshimu na wakaendelea kusafirisha mchanga kwa udanganyifu " maana yake hawajaheshimu mkataba" basi automatical doctine ya '' REBUS SIC STANTIBUS '' ita apply na kuufanya huo mkataba usitekelezeke !! yaani umevunyika nganganyanga beyond repair.
Nani aliyethibitisha kwamba walikuwa wanasafirisha mchanga kwa udanganyifu so far? Ni ile Kamati ya "maprofesa"? Ina mamlaka hayo kwa mujibu wa mkataba tulioingia na hao "wezi" wetu?
Mpaka sasa ACACIA wanapinga matokeo ya uchunguzi wa kamati ya "maprofesa", na wana hoja zao ambazo ikibidi zitaenda kupambanishwa kule ambao wakati tunaingia nao mkataba tulikubali kuwa inapotokea mgogoro baina yetu na wao tutaenda kusuluhishwa au kumalizana.
Nani anathibitisha kuwa tulikuwa tunadanganywa?