Dkt. John Pima: Jiji la Arusha tunaanza 'medical tourism', tutajenga hospitali kubwa itakayohudumia watalii na Watanzania wenye bima kubwa

DOMASA

Member
Jun 19, 2012
16
10

Akizungumza leo akiwa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dkt John Pima amesema:

One of big investments ambazo Serikali imefanya kwenye jiji letu la Arusha kupitia mapato ya ndani ni kujenga hospitali kubwa. Tunaanza sasa kitu kinachoitwa medical tourism.

Tutajenga hospitali kubwa ambayo itawafanya wageni wote wanaotoka nje ya nchi na ndani ya nchi wenye insurance zile kubwa...mfano amekwenda Serengeti au Tarangire akapata shida, anaweza kufuatwa na helikopta na kuletwa kwenye kituo chetu kutibiwa. Tutakuwa na madaktari wote ambao ni muhimu. Ma-specialist wote watakuwa pale.
 

Akizungumza leo akiwa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dkt John Pima amesema:

One of big investments ambazo Serikali imefanya kwenye jiji letu la Arusha kupitia mapato ya ndani ni kujenga hospitali kubwa. Tunaanza sasa kitu kinachoitwa medical tourism.

Tutajenga hospitali kubwa ambayo itawafanya wageni wote wanaotoka nje ya nchi na ndani ya nchi wenye insurance zile kubwa...mfano amekwenda Serengeti au Tarangire akapata shida, anaweza kufuatwa na helikopta na kuletwa kwenye kituo chetu kutibiwa. Tutakuwa na madaktari wote ambao ni muhimu. Ma-specialist wote watakuwa pale.
Badala ya kujenga mpya kwanini msiboreshe zilizopo zikawa na hizo facilities, imekuwa ni mbinu ya kuiba pesa kwa kupeleka kwenye ujenzi mpya ambao siku zote huduma zake haziwi endelevu, akija kiongozi mwingine investment hiyo inakufa natural death, ningeshauri fedha hiyo itumike kuboresha vilivyopo ili viwanufaishe wengi zaidi badala ya tourists peke yao
 
Nyakati hizi za kugawana nusu kwa nusu sina imani nazo . Hizo ndoto zitabaki kwenye makaratasi.

#RIP_JIWE
 
Ujinga tu hio Hospital ya namna hio achieni Private investors wafanye Serikali kufanya ivo ni Kutengeneza matabaka ya walio nacho na wasio nacho wakati Kodi wanakusanya kwa wote, Btw arusha Hospital za binafsi zipo tena nzuri tu, badala ya aina hio ya uwekezaji ni bora wakarabati vituo visivyo hata na panadol au wataalamu region wide
 
Back
Top Bottom