Matendo ya mzee mwinyi yanaonesha ya kwamba hakuwa na habari tena na Tanganyika.Wazazi wake wamezaliwa wapi?
Wazazi wake wamezikwa wapi?
Na yeye Mwinyi amezaliwa wapi?
Mtu kupelekwa mahali nje ya nyumbani iwe ndani nchini au nje ya nchi kwa ajili ya masomo na kutafuta maisha, hata akae muda gani, haihalalishi kuwa ndio nyumbani kweao!
Ungekosa muungano asingekuja na kuishi huku bara. Bara alikuja kwa ajili ya kazi baada ya muungano