Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Wanaopakia picha za watoto mtandaoni na kuwasababishia unyanyasaji kukiona
"Kuna watu sasa hivi mnaona kwamba wanafanyisha watoto matangazo ya kibiashara. Anampiga picha, anambandika hapo tangazo la kibiashara. Sasa vyombo vyetu vya kiuchunguzi tukisha pokea shitaka kama hilo linaweza kukutafuta wewe," anaeleza Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii.
"Kuna watu sasa hivi mnaona kwamba wanafanyisha watoto matangazo ya kibiashara. Anampiga picha, anambandika hapo tangazo la kibiashara. Sasa vyombo vyetu vya kiuchunguzi tukisha pokea shitaka kama hilo linaweza kukutafuta wewe," anaeleza Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii.