UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,543
- 7,756
Kwani sera na mifumo ya kufikisha dawa kwa mlaji hazipo? Tatizo siyo sera na mifumo, tatizo ni kwamba nyie ni WEZI. Badilikeni muache wizi muone kama dawa hazitamfikia mlaji!Mh....wewe naona hoja zako ni dhaifu dhaifu ( In Prof Assad Voice).
Yaani umesahau kuwa waliotuhumiwa kuchota fedha za Escrow ni mawaziri.?Ndo maana nasema wizi upo kila mahali na ni kosa la jinai.
Majukumu ya waziri ni kutengeza sera nzuri na mifumo mizuri ya usimamizi ili dawa zimfikie mlaji wa mwisho na vile vile kuongeza morali wa kazi na ubunifu kwa mtoa dawa.