Dkt. Delvina Japhet Tarimo: Mtanzania wa kwanza kupata PhD ya Physics kwa muda mfupi

Physics haijaleta mabadiriko makubwa barani Africa kama kwa wenzetu sijui ufundishaji wetu mbaya au vichwa vyetu waafrika havielewi somo hili.
Mpaka sasa hakuna Nobel price kutoka kwa waafrika weusi. Tatizo nini jamani.
mpaka sasa tunafundisha wanetu practical za kutafuta 'g' kwa tumia uzi wakati wenzetu wanafanya maprac ya kutembea kwenye Vacuum

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nilitaka kushangaa pia PhD za Physics ninazozichua mimi watu wanasota miaka zaidi ya mitano tena top universities halafu mtu apate na mwaka na nusu! Nimemcheck google scholar machapisho yake yote ni 'energy storage' hakuna chapisho hata moja la physics.
Energy storagw imaweza kuwa breakthrough.mfano solid staye battery ambayo inatumika kwenye gari ni energy storage.
Tupe hints za article.
Phd zetu ni:
Kupima dozi za mionzi
Kipina kasi ya upepo dodoma
Kupima radioactive material kwenye mboga mboga.
Nk.
 
Shikamoo physics- Estimate the amount of energy required to brute force a 256 bit key code ?

One of the consequences of the second law of thermodynamics is that a certain amount of energy is necessary to represent information. To record a single bit by changing the state of a system requires an amount of energy no less than kTkT, where TT is the absolute temperature of the system and kk is the Boltzman constant. (Stick with me; the physics lesson is almost over.)
Given that k=1.38⋅10−16erg/∘Kelvink=1.38⋅10−16erg/∘Kelvin, and that the ambient temperature of the universe is 3.2∘K3.2∘K, an ideal computer running at 3.2∘K3.2∘K would consume 4.4⋅10−164.4⋅10−16 ergs every time it set or cleared a bit. To run a computer any colder than the cosmic background radiation would require extra energy to run a heat pump.
Now, the annual energy output of our sun is about 1.21⋅10411.21⋅1041 ergs. This is enough to power about 2.7⋅10562.7⋅1056 single bit changes on our ideal computer; enough state changes to put a 187-bit counter through all its values. If we built a Dyson sphere around the sun and captured all of its energy for 32 years, without any loss, we could power a computer to count up to 21922192. Of course, it wouldn’t have the energy left over to perform any useful calculations with this counter.
But that’s just one star, and a measly one at that. A typical supernova releases something like 10511051 ergs. (About a hundred times as much energy would be released in the form of neutrinos, but let them go for now.) If all of this energy could be channeled into a single orgy of computation, a 219-bit counter could be cycled through all of its states.
These numbers have nothing to do with the technology of the devices; they are the maximums that thermodynamics will allow. And they strongly imply that brute-force attacks against 256-bit keys will be infeasible until computers are built from something other than matter and occupy something other than space.
 
Boss energy storage sio physics? Yaani supercapacitor sio physics?
Kuna yule Prof. wa marekani mwaka jana alishinda Nobel price kwa research zake za Lithium ion battery. Hiyo sio area ndogo mkuu.
Mkuu huwezi kusomea Physics PhD then usome supercapacitor. Supercapacitors, capacitors, batteries, fuel cells, flow batteries etc. hivi vyote vinaangukia vitu tunaita 'Electochemical energy storage devices'. Fundamental theory zote zinajulikana miaka mingi sana. Sasa hivi wanachofanya ni kutafuta 'new materials' to improve performance hence mtu kama huyo ndio unasomea, hatuwezi kusema unasoma Physics. Wewe sanasana ni materials scientist au chemist specializing in energy storage.
Kwenye huyo Prof. wa Marekani sio yeye peke yake ambaye alishinda hiyo Nobel prize. Na ilikuwa in chemistry. Why? Sababu battery physics was discovered zamani sana. Hawa jamaa walioshinda nobel price John B. Goodenough, M. Stanley Whittingham and Akira Yoshino kila mtu alitoa mchango wake kuimprove lithium battery ambayo iko kwenye almost kila kitu now. Siwezi andika hapa contribution ya kila mtu sababu itanilazimu pia kuandika fundamental principles of how lithium battery works.
 
Energy storagw imaweza kuwa breakthrough.mfano solid staye battery ambayo inatumika kwenye gari ni energy storage.
Tupe hints za article.
Phd zetu ni:
Kupima dozi za mionzi
Kipina kasi ya upepo dodoma
Kupima radioactive material kwenye mboga mboga.
Nk.
Mkuu kweli energy storage ndio future. She's smart kuchagua kusomea hiyo kitu. Msitegemee huyo kurudi labda aamue kuja kufundisha hapo UD. Mkuu solid state batteries bado sana. Toyota bado wanapambana nayo lakini bado sana. Gari zote, simu, camera..yani kila kitu kinachotumia 'rechargeable' battery wanatumia the conventional 'aqueous lithium battery. Na hiyo solid state wanadhani ndio itakuwa mwarobaini wa 'unintended fires' kutokana na battery shorting.
Huyu mwenzetu anasomea lithium-sulfur batteries ambazo nadhani commercialization itakuchukua muda sababu kuna inshu kibao za kusolve. Hii lithium-sulfur inaondoa matumizi ya cobalt kutoka DRC ambayo inapigiwa kelele kila siku kuwa mazingira ya uzalishaji sio. Lakini in my opinion sioni watu kama Apple, Samsung, na phone manufacturers wote wakiachana nayo hakuna mbadala 'for high energy density' inayohitajika kwenye 'portable devices'.
 
Wapo tena wengi tu.Nenda google utafafanuliwa vizuri. Mmekaririshwa kuwa waafrika ni weusi sio kweli.
Wa xhosa tu hapo south sio weusi kama sisi wabantu.
North Africa yote ile ina watu weupe , egypt,moroco, libya, Tunisia nk.kote huko sio weusi.
Weusi wapo kusini kwa jangwa la sahara.
South Aftica kuna wazungu milioni 3(Africaner).
Wakisema waafrika wewe unaelewaje labda.
Wakhosa (Xhosa ) ni wabantu na weusii kama kawa ,labda unamaanisha waKHOISAN (BUSH MEN) hao ni weupe ambao ni jamii moja na wasandawe wa hapo dodoma na lugha yao ya kuCLICK(CLICK LANGUAGE),

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kutana na Dkt. Delvina Japhet Tarimo aliyeweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kupata PhD ya Physics ndani ya mwaka mmoja na miezi sita katika chuo kikuu cha Pretoria, Africa Kusini. Alikidhi vigezo vyote mwaka jana akiwa na umri wa miaka 31 na mwezi huu tarehe 6/5/2021 alitunukiwa hiyo nondozi yake ya PhD.

Jana aliitwa na Balozi balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini ubalozi jijini Pretoria. Pichani Kuanzia kushoto ni Richard Lupembe, Peter Shija, Balozi G. Milanzi, Delvina, Melchoir Rweyemamu, Rosemary Jairo na Col David Msakulo.


Hongera sana
So what?
 
Back
Top Bottom