Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,702
- 8,480
Acha wivu myahudi jr II😎
Asante, Nimeacha
Acha wivu myahudi jr II😎
Issue siyo hiyo PhD, swala la muhimu ungetuambia amefanya nn na degree yake hiyo? Amefanya uvumbuzi wa technology yeyote?Kutana na Dkt. Delvina Japhet Tarimo aliyeweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kupata PhD ya Physics ndani ya mwaka mmoja na miezi sita katika chuo kikuu cha Pretoria, Africa Kusini. Alikidhi vigezo vyote mwaka jana akiwa na umri wa miaka 31 na mwezi huu tarehe 6/5/2021 alitunukiwa hiyo nondozi yake ya PhD.
Jana aliitwa na Balozi balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini ubalozi jijini Pretoria. Pichani Kuanzia kushoto ni Richard Lupembe, Peter Shija, Balozi G. Milanzi, Delvina, Melchoir Rweyemamu, Rosemary Jairo na Col David Msakulo.
Hongera sana
Kishimba anasema vyuo visidai computer kwa wanafunzi hazina msaada na ni kumuongezea mkulima gharama.CC:Msukuma,Kishimba Na Wengine Huko
Research gani hio ugundue kitu mwaka mmja.Issue siyo hiyo PhD, swala la muhimu ungetuambia amefanya nn na degree yake hiyo? Amefanya uvumbuzi wa technology yeyote?
MmhKuna mama mmoja sitaki kumtaja anafundisha classical mechanics, ni ngonjela tu za physics.
Kusoma soma slide basi.
Wanawake ni mabingwa wa kukariri.
Kama ameweza kusolve problems za quantum physics basi ntamnyooshea mikono.
Siziamini sana Phd za wanawake hasa kwenye physics na engineering.
Ila udaktari okay, maana kule ni kukariri anatomy basi hakunaga equations za ku solve.
Wazungu wamegundua quantum internet, wachina wana quantum satelite sasa huyo sijui atatusaidia kupata quantum computer, kwetu kimya utafikiri hakuna wanafizikia.
Kupata PhD akiwa na miaka 31 unaona maajabu?Kutana na Dkt. Delvina Japhet Tarimo aliyeweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kupata PhD ya Physics ndani ya mwaka mmoja na miezi sita katika chuo kikuu cha Pretoria, Africa Kusini. Alikidhi vigezo vyote mwaka jana akiwa na umri wa miaka 31 na mwezi huu tarehe 6/5/2021 alitunukiwa hiyo nondozi yake ya PhD.
Jana aliitwa na Balozi balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini ubalozi jijini Pretoria. Pichani Kuanzia kushoto ni Richard Lupembe, Peter Shija, Balozi G. Milanzi, Delvina, Melchoir Rweyemamu, Rosemary Jairo na Col David Msakulo.
Hongera sana
Nimeandika nilicho kiona kwenye picha ya huyo mwaliIla weweee
Huu ni unyanyasaji wa kijinsia
Huyo Melkior Rweyemamu anawadhifa gani?
Safi sana nshomireee
Hii ni kweli kabisa!Kuna mama mmoja sitaki kumtaja anafundisha classical mechanics, ni ngonjela tu za physics.
Kusoma soma slide basi.
Wanawake ni mabingwa wa kukariri.
Kama ameweza kusolve problems za quantum physics basi ntamnyooshea mikono.
Siziamini sana Phd za wanawake hasa kwenye physics na engineering.
Ila udaktari okay, maana kule ni kukariri anatomy basi hakunaga equations za ku solve.
Wazungu wamegundua quantum internet, wachina wana quantum satelite sasa huyo sijui atatusaidia kupata quantum computer, kwetu kimya utafikiri hakuna wanafizikia.
Kutana na Dkt. Delvina Japhet Tarimo aliyeweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kupata PhD ya Physics ndani ya mwaka mmoja na miezi sita katika chuo kikuu cha Pretoria, Africa Kusini. Alikidhi vigezo vyote mwaka jana akiwa na umri wa miaka 31 na mwezi huu tarehe 6/5/2021 alitunukiwa hiyo nondozi yake ya PhD.
Jana aliitwa na Balozi balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini ubalozi jijini Pretoria. Pichani Kuanzia kushoto ni Richard Lupembe, Peter Shija, Balozi G. Milanzi, Delvina, Melchoir Rweyemamu, Rosemary Jairo na Col David Msakulo.
Hongera sana
Kuna mama mmoja sitaki kumtaja anafundisha classical mechanics, ni ngonjela tu za physics.
Kusoma soma slide basi.
Wanawake ni mabingwa wa kukariri.
Kama ameweza kusolve problems za quantum physics basi ntamnyooshea mikono.
Siziamini sana Phd za wanawake hasa kwenye physics na engineering.
Ila udaktari okay, maana kule ni kukariri anatomy basi hakunaga equations za ku solve.
Wazungu wamegundua quantum internet, wachina wana quantum satelite sasa huyo sijui atatusaidia kupata quantum computer, kwetu kimya utafikiri hakuna wanafi
Hongera zake, namfahamu huyu dada yupo vizuri, degree yake ya Kwanza kasomea St. John University of Tanzania dodoma na alibaki chuoni kama seminar leader. Ni product za engineer kinguKutana na Dkt. Delvina Japhet Tarimo aliyeweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kupata PhD ya Physics ndani ya mwaka mmoja na miezi sita katika chuo kikuu cha Pretoria, Africa Kusini. Alikidhi vigezo vyote mwaka jana akiwa na umri wa miaka 31 na mwezi huu tarehe 6/5/2021 alitunukiwa hiyo nondozi yake ya PhD.
Jana aliitwa na Balozi balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini ubalozi jijini Pretoria. Pichani Kuanzia kushoto ni Richard Lupembe, Peter Shija, Balozi G. Milanzi, Delvina, Melchoir Rweyemamu, Rosemary Jairo na Col David Msakulo.
Namba 4 umebugi,Ana meno yalio jipanga vyema.
Ana matege m'bonyeo kwa magoti.
Ana jicho la upanga.
Hajaolewa/hana Pete yeyote.
Ni mrefu wa aprix futi 6,1.
Ana ngozi ya chochote colour.
Ana vaa kiatu size 44/45
Ana umbo namba 1.
Otherwise, naungana na watanzania wenzangu kwa kumpongeza sana mwali.