macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,799
- 39,610
Mimi japo sikubaliani na maneno yake kuwa Taifa lilipitia kipindi kigumu lakini kwangu Bashiru ni kiongozi mzuri tu ukilinganisha na wengine walioko CCM. Sijui ilikuwaje lakini nilidhani ndiye aliyefaa kuwa makamu wa rais. Pamoja na ''kujito ufahamu'' kipindi cha marehemu Magu, lakini hebu niambia ni nani ambaye ''hakujitoa ufahamu'' CCM? ...na wengine hata upinzani na viongozi wa dini. Mimi nadhani maaduni wa Bashiru wengi ni wale CCM waliokuwa wamezibwa pumzi kipindi cha Meko na yeye akiwa katibu.Bashiru ana maadui wengi sana ndani ya chama , hasa kukata mizizi ya wizi ndani ya mikoa na ngazi ya wilaya. Lakini ameonyesha bado ni shupavu na ujengaji wake wa hoja za mantiki ni hazina kubwa aliyonayo. Hata kama kuna mapungufu yalitokea baada ya JPM, bado ninaamini mama atamlinda na amor ubalozi nchi yoyote baada ya miaka hii minne ya ubunge. Kama yeye ni mlangila nina imani hawezi gombea ubunge wa jimbo. Ref, watoto wa Nyerere hamna anayepata ubunge Musoma sababu wazanaki ni minority Musoma , Na kule Bukoba hali kadhalika Mlangila hawezi kupata ubunge licha ya kwamba ni watawala kabla ya uhuru. Kwa intelect yake na uzalendo wake Bashiru atakuwa Balozi huko mbeleni na hasa kwenye utawala wa mama Samia hawezi kumtupa kijana kipenzi wa JPM jamii ya wastaarabu haruwezi kumwelewa na usemi wakazi iendelee ni pamoja na kuenzi mema ya marehemu. Bashiru ndiye kafanya chama kijitegemee kifedha baada ya kuhamishia mapato yote makao makuu. HONGERA Bashiru taifa limefiwa ,lakini mwenzetu meguswa zaidi na kifo cha marehemu , muzilankende mwenzake na JPM kam alivyokutambulisha katika moja ya ziarani mkiwa Bukoba.