Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
yaani ukipewa ubunge wa viti maalumu ni heshima kubwa sana maana ni hela ambazo huwezi kugawana na wananchi wakoUkiwa mwanasiasa kuna sehemu ya akili hupungua, yaani Dr. Bashiru anashukuru kutimuliwa kazi na kupewa Ubunge wa Viti Maalum...!!!
Zote ni kazi bwashee!Ukiwa mwanasiasa kuna sehemu ya akili hupungua, yaani Dr. Bashiru anashukuru kutimuliwa kazi na kupewa Ubunge wa Viti Maalum...!!!
JF imekuwa vijiwe vya mpira na kahawa Melo hao mode uliowaweka ni ugoro mtupu tunaimiss ile JF realHizi nyuzi zako za kila dk tukifungua sisi ban nje nje. Sijui ww una cheo gani humu
Kaisuka jamaa misukule na sasa ni mazombi
Kimya chake kitaisha 2024-2025 pale mtakapoona amechukua fomu ya kuelekea chamwino kupitia CCM.Bashiru ana akili anajua kukaa kimya
Atatumbuliwa soon.Hizi nyuzi zako za kila dk tukifungua sisi ban nje nje. Sijui ww una cheo gani humu
Ila jamaa ametoa changamoto nzuri sana kwa serikali kutafakari jinsi inavyoweza kuleta mabadiliko yenye ufanisi kwenye maendeleo ya kilimo.
Mbunge wa kuteuliwa Dkt. Bashiru amesema anamshukuru sana mh Rais Samia kwa heshima kubwa na imani aliyoionyesha kwake kwa kumteua kuwa mbunge.
Dr Bashiru amesema hadi sasa wabunge wa kuteuliwa na Rais wako wanane tu hivyo anamshukuru sana kwa imani hiyo kwake.
Dr Bashiru amesema hayo wakati akichangia hotuba ya bajeti ya wizara ya kilimo.
Chanzo: Bungeni
Alianzia kwa 'fundi' wake, kutafuta ushauri.Toka uteuliwe leo ndio unashukuru au ulidhani unapewa Uwaziri?
Alipo teuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM alisema hadharani kuwa cheo hicho ni cha juu sana kwake na kwamba hawezi tena kukubali cheo kingine cha kuteuliwa kwa maana kuwa vitakuwa vidogo. imekuwaje leo anashukuru kwa kuteuliwa kuwa mbunge kacheo ambako ni kadogo sana?. usitukane wakunga uzazi ukingalipo.Mbunge wa kuteuliwa Dkt. Bashiru amesema anamshukuru sana mh Rais Samia kwa heshima kubwa na imani aliyoionyesha kwake kwa kumteua kuwa mbunge.
Dkt. Bashiru amesema hadi sasa wabunge wa kuteuliwa na Rais wako wanane tu hivyo anamshukuru sana kwa imani hiyo kwake.
Dkt. Bashiru amesema hayo wakati akichangia hotuba ya bajeti ya wizara ya kilimo.
Chanzo: Bungeni
Pamoja sana jembe, umekuwa jembe na utabaki jembe!Mbunge wa kuteuliwa Dkt. Bashiru amesema anamshukuru sana mh Rais Samia kwa heshima kubwa na imani aliyoionyesha kwake kwa kumteua kuwa mbunge.
Dkt. Bashiru amesema hadi sasa wabunge wa kuteuliwa na Rais wako wanane tu hivyo anamshukuru sana kwa imani hiyo kwake.
Dkt. Bashiru amesema hayo wakati akichangia hotuba ya bajeti ya wizara ya kilimo.
Chanzo: Bungeni
kama hakupata nafas ya kuongea ultaka afanyaje? Wabongo bwanaToka uteuliwe leo ndio unashukuru au ulidhani unapewa Uwaziri?
Nyumba za ccm ulizokuwa umejimilikisha zinakutoa roho!! Huyo ndo bashiru mfia nchi. Jimilikisheni tena! Lkn mjue kuna mwamba mwingine huko mbeleni atakuja na atapita na account zenu kwa kujilipia mapesa kwa mali isiyo yako. Mbaya zaidi utakuwa umeishakuwa kibabu na wajukuu zako watajuta kuwa babu yao.Jitu la hovyo kabisa, usomi wa kifala na mavi
Suala la kumsema Bashiru ni haki ya huyu mdau kama Wewe ulivyo tumia haki yako kumpaka! Ila hilo la sadism, ni baya limeuwa na linaweza kuondoka na wengine pia!We nani? Una mamlaka gani kumpagia Dk.Bashiru ashukuru lipi aache lipi - watu wanazungumzia the present wewe unaendelea ku-dwell in the past ,kisa? Unataka kupiga vijembe Dk.Bashiru kiaina - typical some Tanzanian endowed with inborn/inbuilt sadism,unamsema vibaya Dk.Bashiru wakati wewe hata ujumbe wa kata haumo kabisa.
Atapenyea wapiKimya chake kitaisha 2024-2025 pale mtakapoona amechukua fomu ya kuelekea chamwino kupitia CCM.
Alidhani yuko lecture room..nimeona Dr.Bashiru amepwaya sana bungeni.
..alipewa dakika 10 kuzungumza, lakini alipoteza muda kutoa shukrani, akajikuta anagongewa kengele ya dakika 8 akiwa bado hajajenga hoja yake.
Diehard fan wa Bashiru Kakurwa Ally huwa unamtetea kila kipengele. Na alipotumbuliwa u KMK ulimteteea ukasema atakuja na comeback kubwa ya uteuzi ndani au nje ya chama. Hakuna kilichotokea, the past is a historyWe nani? Una mamlaka gani kumpagia Dk.Bashiru ashukuru lipi aache lipi - watu wanazungumzia the present wewe unaendelea ku-dwell in the past ,kisa? Unataka kupiga vijembe Dk.Bashiru kiaina - typical some Tanzanian endowed with inborn/inbuilt sadism,unamsema vibaya Dk.Bashiru wakati wewe hata ujumbe wa kata haumo kabisa.
Mlilishwa matango pori......Hivi ile hela waliyotoa hazina yeye na Dotto James walisharudisha bwashee?
Kwani tatizo lake nini? tatizo lake Kuset mitamno? Asante Bashiru kwa kupiga ruler.Ni bora nibaki kua machinga kuliko kua msomi fa,la kama Bashiru.