SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,703
- 60,774
Tunaposema kuwa sifa kubwa ya kuwa mwanaccm ni kujitoa ufahamu tunamaanisha. Siyo kwa povu lile.
Msikilizeni yule muungwana aliyekuwa anajieleza kwa weledi na pozi za kisomi Leo anavyojibu maswali ya waandishi.
Hakika kwa muda mfupi huu watu wamepata kujua kwa nini ukiingia ccm unaharibikiwa fikra.
Kweli akili hizi ni zile za Dr Bashiru?
Wapo wengi tu.View attachment VID-20180815-WA0001.mp4
siku nyingine muazime hako ka avata kako ajibu kakiwa kamefungwa maana kuna hatari ya mtu kuwa arrest ya cardiacSwali gumu sana. Afanyeje sasa. Unaulizwa swali linahusu katiba yenu mnayoivunja. Je hii katiba ya nchi mtaiheshimu?
Chama kinamfiaHuyo mnayemwita divisheni zero jiwe hamfikii hata robo,na jiwe anajua hilo.
Msikilizeni yule muungwana aliyekuwa anajieleza kwa weledi na pozi za kisomi Leo anavyojibu maswali ya waandishi.
Hakika kwa muda mfupi huu watu wamepata kujua kwa nini ukiingia ccm unaharibikiwa fikra.
Kweli akili hizi ni zile za Dr Bashiru?
Msikilizeni yule muungwana aliyekuwa anajieleza kwa weledi na pozi za kisomi Leo anavyojibu maswali ya waandishi.
Hakika kwa muda mfupi huu watu wamepata kujua kwa nini ukiingia ccm unaharibikiwa fikra.
Kweli akili hizi ni zile za Dr Bashiru?
Swali gumu sana. Afanyeje sasa. ?
Msikilizeni yule muungwana aliyekuwa anajieleza kwa weledi na pozi za kisomi Leo anavyojibu maswali ya waandishi.
Hakika kwa muda mfupi huu watu wamepata kujua kwa nini ukiingia ccm unaharibikiwa fikra.
Kweli akili hizi ni zile za Dr Bashiru?
Sasa wewe na Bashiru mna tofauti gani kiasi cha kumfungulia threadHakika kwa muda mfupi huu watu wamepata kujua kwa nini ukiingia ccm unaharibikiwa fikra.
Kweli akili hizi ni zile za Dr Bashiru?
Sasa ndiyo atoe mipovu vile kama amekunywa omo?
Ila kweli mkuu.
Ni kama kumuuliza mwenyekiti wetu utaachia lini uwenyekiti?
Lazima uangushiwe mitusi tu. Hakuna namna!