Dkt. Bashiru akiwa Bungeni

Hee ndio yupo Bungeni anakula pesa za bure tu hana jimbo wala jumba.
 
Bila shaka anatekeleza "utamaduni wa CCM" kukataa kuteuliwa nafasi nyingine baada ya kuwa tayari alishateliwa kuwa Katibu Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…