kenshi JF-Expert Member Joined Jul 12, 2015 Posts 1,976 Reaction score 1,973 Apr 7, 2021 #21 Haamini kilichotokea
Ryaro ryaro JF-Expert Member Joined Feb 10, 2021 Posts 377 Reaction score 1,170 Apr 7, 2021 #22 Mpanda ngazi Ushuka...
mdukuzi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 22,312 Reaction score 55,970 Apr 7, 2021 #23 Kutoka ikulu mpaka makole .rudi udsm kama vipi
chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 21,369 Reaction score 27,785 Apr 7, 2021 #24 Mmawia said: Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669 Click to expand... Huyu mtu anahitaji tiba ya kisaikolojia mapema sana kabla hatujasikia mengine
Mmawia said: Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669 Click to expand... Huyu mtu anahitaji tiba ya kisaikolojia mapema sana kabla hatujasikia mengine
Malyenge JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 6,658 Reaction score 3,662 Apr 7, 2021 #25 Mmawia said: Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669 Click to expand... Waziri Mkuu mtarajiwa
Mmawia said: Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669 Click to expand... Waziri Mkuu mtarajiwa
Haiku JF-Expert Member Joined Mar 31, 2018 Posts 2,941 Reaction score 2,084 Apr 7, 2021 #26 mama D said: Ukiona mafanikio ya mtu, pesa, mali au ukaribu wake na watu flani unambadilisha tabia yake na ujue kabisa huyo mtu hafai Click to expand... 👍
mama D said: Ukiona mafanikio ya mtu, pesa, mali au ukaribu wake na watu flani unambadilisha tabia yake na ujue kabisa huyo mtu hafai Click to expand... 👍
ostrichegg JF-Expert Member Joined Jun 30, 2013 Posts 12,048 Reaction score 6,199 Apr 7, 2021 #27 Mmawia said: Au naongopa ndugu zangu? Click to expand... Hapana,kwenye UCHAFUZI aliitumia vizuri sana DOLA kuchukua kila kitu, PAMOJA na nafasi yake.
Mmawia said: Au naongopa ndugu zangu? Click to expand... Hapana,kwenye UCHAFUZI aliitumia vizuri sana DOLA kuchukua kila kitu, PAMOJA na nafasi yake.
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 137,516 Reaction score 272,220 Apr 7, 2021 #28 Mmawia said: Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669 Click to expand... Aiseee !!
Mmawia said: Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669 Click to expand... Aiseee !!
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,090 Reaction score 165,243 Apr 7, 2021 #29 Anawakilisha jimbo gani hapo
Lord OSAGYEFO JF-Expert Member Joined Feb 19, 2021 Posts 3,079 Reaction score 4,891 Apr 7, 2021 #30 Mmawia said: Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669 Click to expand... Hana Cha kafurahi Wamempokonya TONGE mdomoni Kudadadeki
Mmawia said: Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669 Click to expand... Hana Cha kafurahi Wamempokonya TONGE mdomoni Kudadadeki
NAWATAFUNA JF-Expert Member Joined Nov 14, 2019 Posts 13,281 Reaction score 24,064 Apr 7, 2021 #31 Hee ndio yupo Bungeni anakula pesa za bure tu hana jimbo wala jumba.
darubin ya mbao JF-Expert Member Joined Aug 3, 2016 Posts 2,187 Reaction score 4,552 Apr 7, 2021 #32 Nae ni mwakilishi wa wananchi?
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 58,636 Reaction score 220,351 Apr 7, 2021 #33 Kutoka katibu mkuu wa chama mpaka mbunge sijui alichukua lift gani.
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 58,636 Reaction score 220,351 Apr 7, 2021 #34 jooohs said: Msela wake mzee wa mavieite naona kashakubaki kwenda na mdundo wa maza kishingo upande,.Hata ukatibu tarafa anaweza kuupokea kwa mikono miwili na kicheko juu Click to expand... Kutoka kampeni meneja tu katibu tarafa 😂
jooohs said: Msela wake mzee wa mavieite naona kashakubaki kwenda na mdundo wa maza kishingo upande,.Hata ukatibu tarafa anaweza kuupokea kwa mikono miwili na kicheko juu Click to expand... Kutoka kampeni meneja tu katibu tarafa 😂
n-propanol JF-Expert Member Joined Apr 7, 2019 Posts 5,537 Reaction score 7,255 Apr 7, 2021 #35 Mmawia said: Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669 Click to expand... Hapo yupo physically ila mentally yuko mbali sana.
Mmawia said: Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669 Click to expand... Hapo yupo physically ila mentally yuko mbali sana.
S Stan Mashamba JF-Expert Member Joined Apr 22, 2020 Posts 3,176 Reaction score 2,479 Apr 7, 2021 #36 Mmawia said: Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669 Click to expand... Anawaza sana. Yumo bungeni kimwili tu.
Mmawia said: Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669 Click to expand... Anawaza sana. Yumo bungeni kimwili tu.
Abrianna JF-Expert Member Joined Mar 30, 2021 Posts 4,703 Reaction score 15,401 Apr 7, 2021 #37 Mmawia said: Wakuu wale wanaojua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya Bunge ukifuatilia bunge linavyoenda. View attachment 1745669 Click to expand... hakika anafurahia
Mmawia said: Wakuu wale wanaojua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha. Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya Bunge ukifuatilia bunge linavyoenda. View attachment 1745669 Click to expand... hakika anafurahia
Kinoamiguu JF-Expert Member Joined Nov 29, 2018 Posts 16,320 Reaction score 23,008 Apr 7, 2021 #38 Mmawia said: Umeonaeeeeee? Click to expand... Akawanunue kina waitara sasa
Omukailee Member Joined Jul 20, 2020 Posts 38 Reaction score 30 Apr 7, 2021 #39 Mimi napita tu kuwahi kumwita psychologist
X X-bar JF-Expert Member Joined Mar 20, 2019 Posts 1,006 Reaction score 1,156 Apr 7, 2021 #40 Bila shaka anatekeleza "utamaduni wa CCM" kukataa kuteuliwa nafasi nyingine baada ya kuwa tayari alishateliwa kuwa Katibu Mkuu.
Bila shaka anatekeleza "utamaduni wa CCM" kukataa kuteuliwa nafasi nyingine baada ya kuwa tayari alishateliwa kuwa Katibu Mkuu.