kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,550
- 2,381
Hahahaaaa nchi hii tuna wasomi chumia tumbo..yaan ni shida aiseeVictoire huyo jamaa anajiita Dr nadhani naye ana Phd, lakini ni mpuuzi wa kutupa ambaye hastahili hata kuwa na Bachelor Degree kutokana na ujinga anaongea.