imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,039
Nakumbuka kuna mmoja alikuwa kapewa kuchimba mabwawa ya kilimo kwanza enzi za Jk akakoroga kila kitu na fedha akatokomea nazo kusikojulikanaSafi kabisa , mtawatapata wale makandarasi wajuaji wasiokataa kazi na wanaoweza kupandisha maji mlima Kilimanjaro!