ndogwila
Member
- Jan 10, 2011
- 21
- 3
Karibu Dr. kwenye nchi ya kusadikika najua wazi mpunga utakuwa umekata. We ni mtu na heshima zako japo umenyea kitanda ambacho jioni unataka ukilalie tena. Jamaa umeshawasaidia kuingia madarakani sijui kama watakutoa tena kwa kifupi umeshakuwa bigijii ilioisha utamu.