Dk. Slaa matatani kwa ubaguzi

Dk. Slaa matatani kwa ubaguzi

Simiyu Yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
18,949
Reaction score
4,643
Tarifa zilizoripotiwa na gazeti moja la mkakati limebainisha kuwa ubaguzi wa mzee slaa sasa umemweka pabaya,

Tarifa zaidi zinasema kuwa mzee slaa amekuwa mbaguzi kila anapokuwa kwa kubagua kundi flani la watu kwa malengo anayojua yeye,

Tarifa zaidi soma gazeti la mkakati leo 30/04/2015.
attachment.php
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    463.3 KB · Views: 4,540
Huyu mzee ni muovu mpaka kanisani sijui kama ipo sehemu anayokuwa msafi.
 
Haya wahi Lumumba ukachukua buku 7. Ushindwe na ulegezwe
 
Inavyoelekea ajira hii ikikata mtaweza hata kugeukia tasnia ya udada/ukaka poa ili muendelee kupeleka tonge mdomoni.. Maana sidhani kama mtakuwa na uwezo wa kutafuta mkate kwa njia za kawaida once hii Lumumba Project ikifa..
 
Source: Mkakati
Mleta Mada: Simiyu yao!
Kazi kweli kweli Naona mikutano ya chama pacha imesimama hawana cha kuripoti kwa sasa.
 
Tarifa zilizoripotiwa na gazeti moja la mkakati limebainisha kuwa ubaguzi wa mzee slaa sasa umemweka pabaya,

Tarifa zaidi zinasema kuwa mzee slaa amekuwa mbaguzi kila anapokuwa kwa kubagua kundi flani la watu kwa malengo anayojua yeye,

Tarifa zaidi soma gazeti la mkakati leo 30/04/2015.

Kuna wengine hatuna access na gazeti hilo, ungeweka habari kamili namna ambavyo ubaguzi unafanyika
 
Tarifa zilizoripotiwa na gazeti moja la mkakati limebainisha kuwa ubaguzi wa mzee slaa sasa umemweka pabaya,

Tarifa zaidi zinasema kuwa mzee slaa amekuwa mbaguzi kila anapokuwa kwa kubagua kundi flani la watu kwa malengo anayojua yeye,

Tarifa zaidi soma gazeti la mkakati leo 30/04/2015.
mods vipi?.Jukwaa hili lisitumike kupromoti mageti njaa hizo zinazoendeshwa na ccm
 
mods vipi?.Jukwaa hili lisitumike kupromoti mageti njaa hizo zinazoendeshwa na ccm

Acha kulia lia wewe. Kwanini hampendi kuambiwa ukweli? Tulia, hili ni jukwaa huru.
 
Inavyoelekea ajira hii ikikata mtaweza hata kugeukia tasnia ya udada/ukaka poa ili muendelee kupeleka tonge mdomoni.. Maana sidhani kama mtakuwa na uwezo wa kutafuta mkate kwa njia za kawaida once hii Lumumba Project ikifa..

CHADEMA inakufa, ACT-Wazalendo inachukua nafasi. Lazima mkasimame usiku pale Billcanas.
 
Dr. Slaa ni mropokaji, hana maadili na mtu wa kukurupuka, sasa hivi kaingia kwenye ubaguzi.

By the way, hakuna anayemjali tena huyo Dr. Slaa, wananchi tumeshamshtukia ni kanjanja msaka tonge.
 
Mtasubiri sana kifo cha CHADEMA/ukawa na hayo magazeti yenu ya udaku mliyoyaanzisha ili kuandika pumba na uzushi kuhusu CHADEMA na UKAWA.

CHADEMA inakufa, ACT-Wazalendo inachukua nafasi. Lazima mkasimame usiku pale Billcanas.
 
Habari yaki ipeleke gazeti la tanzania daima.au mawio.ndo magazeti yanafaa kusoma.
 
CHADEMA inakufa, ACT-Wazalendo inachukua nafasi. Lazima mkasimame usiku pale Billcanas.
Pale CCM wanaposhabikia chama cha upinzani, ndio utaua hata ka kachama ni kijitawi chao, japo kameshakufa
 
Back
Top Bottom