Dk. Slaa Igunga; Yanayofanyika Tanzania ni zaidi ya Afrika Kusini ya Makaburu

CHADEMA

JF-Expert Member
Apr 13, 2013
490
2,471

Dk. Slaa anaendelea kutoa summary ya ziara yake kwa mkoa wa Tabora.

Mkutano unazizima hapa Dkt. Slaa anaelezea ushahidi ambao CHADEMA inao ukionesha unayama wa kutisha uliofanywa kwenye matukio mbalimbali hasa wakati wa Operesheni Tokomeza Ujangili.

Anawaambia ndiyo maana hata ndani ya Ukumbi wa Bunge picha za matukio ya kinyama hazikuoneshwa kwa sababu ni ukatili wa hali ya juu la sivyo hasira za Watanzania zingepanda kwa kiwango ambacho CCM haijawahi kuona.

Anasema hakuna kitu cha kuficha...ushahidi wa matukio yote ya ukatili huo anao...ikibidi zitawekwa hadharani...


DSC_9430.JPG

DSC_9430.JPG
 
Kila la kheri Dr slaa! Wengi wapo nyuma yako, ila tu wengi wao hawana nguvu ya hela!
 
Dkt. Slaa anajibu masuala ya kero za ardhi ambazo zimewasilishwa kwake na Diwani wa Igunga Mjini na wananchi hapa kwenye mkutano wa hadhara wakati wa maswali, maoni na ushauri. Anawaambia umuhimu wa serikali za mitaa, kijiji au halmashauri (kama ingelikuwa chini ya watu makini), inavyoweza kuwajibika kuondoa kero kama hizo.

Anawaambia madhara ya kuweka maCCM mengi ndani ya halmashauri...

DSC_9431.JPG
 
Hivi kwa nin dokt slaa haonei watu huruma, huu ni uchochezi, fitna na uzandiki usio wa kawaida. Hivi anaelewa alichokisema, au nafurahia kuropoka tuu??
 
Hivi kwa nin dokt slaa haonei watu huruma, huu ni uchochezi, fitna na uzandiki usio wa kawaida. Hivi anaelewa alichokisema, au nafurahia kuropoka tuu??

unafiki chadema mwiko..nyeusi iitwe nyeusi tu...kama watu wanabakwa mbele za watoto zao kisha wanaingiziwa chupa sehemu za siri unataka asemeje...
 
Safi sana! huu ndio ukombozi wa watanzania tunaousemea. Hamasa ni kubwa na jibu ni moja tu kwamba watanzania wanajitambua sasa

kazi na iendelee
 
Hivi kwa nin dokt slaa haonei watu huruma, huu ni uchochezi, fitna na uzandiki usio wa kawaida. Hivi anaelewa alichokisema, au nafurahia kuropoka tuu??

Kihoro tu mwaka huu! Na bado, ulitaka aseme serkali imefanya vizuri?
 
Back
Top Bottom