Wana Igunga ni sehemu ya Watanzania wengi ambao walishaamua siku nyingi...Chadema ni sehemu ya maisha yao... hawa ndiyo wanatembea kwa dhati na ule msemo wa mmoja wa wapigania uhuru wa Afrika, forward forever, backward never...
View attachment 128234
aende kutengeneza gongo tu hana jipya kabisa.
Wana Igunga ni sehemu ya Watanzania wengi ambao walishaamua siku nyingi...Chadema ni sehemu ya maisha yao... hawa ndiyo wanatembea kwa dhati na ule msemo wa mmoja wa wapigania uhuru wa Afrika, forward forever, backward never...
View attachment 128234
Thibitisha hayo unayomtuhumu Dr Slaa.Umesoma ripoti ya kamati ya bunge?Wanawake walibakwa..mama moja akajitokeza kuwa alibakwa na wanaume wawili, mwingine alilazishwa kufanya ngono na wakwe zake,pia yupo mwanaume aliambiwa afanye mapenzi na mti...nk. Kuna sababu yoyote kuipenda CCM? Acha mauaji ya Morogoro,Arusha,Mbeya kwenye mikutano ya kisiasa ya CDM. Shame on you pro- CCM.Jaribu kutumia japo robo ya akili yako kutafakari,acha ushabikiHivi kwa nin dokt slaa haonei watu hurumabunge ni uchochezi, fitna na uzandiki usio wa kawaida. Hivi anaelewa alichokisema, au nafurahia kuropoka tuu??
Hivi kwa nin dokt slaa haonei watu huruma, huu ni uchochezi, fitna na uzandiki usio wa kawaida. Hivi anaelewa alichokisema, au nafurahia kuropoka tuu??
Dr Slaa,go....go...go...no one like you in political arena in our country,we wish you all the best mwamba wa kwskazini!!!!
Wanasimama imara na chama chao...
View attachment 128241
Muda wote umebanwa na mavi hakuna hata pointi moja umewahi kuchangia....... Ujinga mtupuDr.Slaa amebakia kuropoka hovyo bila kupima, hivi makubaru walikuwa wanavipa ruzuku vyama vya siasa kila mwezi, wanakula mpaka wanakopesha.
Wanasimama imara na chama chao...
View attachment 128241