Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 131
Na tulio nje ya nchi tutampaje kura Rais Mpya????????
Tulishakupoteza; HUNA MCHANGO BONGO L ABDA KAMA UNGECHANGIA PESA KUWA SEHEMU YA MABADILIKO; NGOJA TUKUTRENGENEZEE UTARUDI TU
Na tulio nje ya nchi tutampaje kura Rais Mpya????????
chembe ya moyo au?sirogwi hata chembe
Pepoziiiiiiiiiii...........................................
kesho naanza safari ya kwenda Mwanza kwa lengo moja nalo ni kupiga kura ili kuuondoa utawala wa kiimla nchini kwangu
Hon.dk Slaa ndo Rais wangu. sina utani juu ya hili
Hamasisha ndugu zako wakubwa kwa wadogo,baba,mama,bibi,babu,shangazi,mjomba,ndugu jamaa na marafiki walioko hapa ndani ya nchi ili wampigie kura dokta wa ukweli,hapo utakua umeshiriki kupiga kura.Na tulio nje ya nchi tutampaje kura Rais Mpya????????
Ndio natoka nyumbani kijijini, nimeelimisha ndugu zangu. Dada zangu wawili tu ndio wang'ang'anizi wa ccm. the rest kura kwa Dr Slaa. Nilipeleka picha ya Dr Slaa na DVD ya wajibu wa mawakala.Jamani hakikisheni kuwa wazazi, watoto, wajomba na jamaa wote kuwa wanampigia kura Dr. Slaa tafadhali hiki ni kitu cha muhimu sana. Kura zetu zisigawanyike.
Sababu ya Home boy nini ?sirogwi hata chembe
Mie na familia tupo 4 , nimeshawishi watu wengine 20, tunachugua Halima Mdee (Mb. Kawe) na Slaa (Rais) lakini hata diwani ni CHADEMA, ingawa simujui