Dk. Slaa awaangukia walimu

Mtindo wa walimu sa hivi ni noma,niliaangalia daftari la mwanafunzi moja ikiwa imesahishwa vizuri na kuwekewa good!Swali likiuliza:'HOW MANY TYPES OF COFFEE ARE FOUND IN AFRICA?METION THEM!Jibu lilotolewa lilikuwa 'TWO'!Kwenye ku'metion' jibu lilikuwa 1)COFFEE ANNAN,2) COFFEE OLLOMIDE!Kasahishiwa na kawekewa 'good'!Sasa sijui elimu yetu inaenda wapi?Dr Slaa okoa jahazi,inazama taratibu.
 
CCM haieleweki hivyo walimu tufundishe tu kwa sasa mpaka 2015 maana ndo mwisho wao.
 
Jana wakati npitia vyombo vya habari usiku nilishangzwa na kauli ya Dr Slaa kugeuka kuwa mpiga debe wa Jakaya Kikwete kwakuhamasisha wana igunga wajitokeze kuhesabiwa.

Swali
Kwanzia lini Slaa amekua mpiga debe wa CCM? au yupo kwenye Pay roll ya kikwete?

Karibuni ila tusitukanane jengen hoja
 

Wewe unaleta upumbavu afu unataka usitukanwe, kwa akili yako fupi sensa ni ya ccm,!!?
 
Dr Slaa angekaa kimya au kusema watu wasikubali kuhesabiwa pia lingekuwa neno kubwa humu JF. Mods, hebu toa upumbavu huu mara moja!
 
Katika watu wasio jua umuhimu wa sensa wa kwanza ww ulio tuma hii post? Nani amesema ukiesabiwa ni wana ccm acha izo angalia mbele
 
Mods -- huyu anataka tu kutangaza hiyo anti-Slaa headline, basi! hana lolote!
 
Jambo lolote la kupinga maendeleo ambalo chadema hailiungi mkono Slaa lazima alikemee.
 
Dr. Ni Dr. Tu. Anao ufahamu mkubwa kupitiliza mipaka ya vyama. SIKUTUKANI NG'OOOO
 

Ile regular uyokuwa unavuta ukiwa mtoto ndo madhara yake yanaanza kuonekana.hakuna upinzani kwenye mambo yenye tija kwa taifa kama sensa.
 

HAYABWANA naona mawazo yako na ID yako havijaachana kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Mods pls ,tuondolee huu uharo wa fisi tusije pigwa ban
 
Jambo lolote la kupinga maendeleo ambalo chadema hailiungi mkono Slaa lazima alikemee.

slaa ni kada wa CCM mzuri yupo upinzani kwa ajili ya kuyumbisha wapinzani, yupo kwa maslahi ya tumbo lake.
 
sensa ina chama?
Hivi kwa nini JF mods hamuchuji watu kama hawa? wanaharibu forum tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…