Bumpkin Billionare
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 1,332
- 621
Usiwe mkali utapata hasara. Ulichoongea sio mawazo bali ni hewa chafu. Nhayo ni mawazo yangu toa yako, ktk siasa za tanzania usitegemee mwanasiasa alete maendeleo, wote ni wachumia matumbo tu, nimetoa mfano tu kwa dr slaa kuhusu mshahara wake, ila kwa sababu humu watu ni washabiki wa chadema hawakubali kuambiwa ukweli. Chadema wanaongoza majimbo mangapi na wamefanya nini pale? Usikurupuke kunishambulia hata mie haya ni mawazo yangu, toa yako tambaa mbele!
aomba ujibu swali hili kama wewe kweli una akili angalau nusu kikombe:
UKIWA BOSI WA KAMPUNI KUBWA (LET SAY VODACOM), UTAKAZANA KUONGEZA UZALISHAJI NA MAUZO ILI MAPATO YA KAMPUNI YAONGEZEKE NA MISHAHARA YA WATUMISHI IPANDE AU UTAKUWA UNAWAPA WALIO CHINI YAKO SEHEMU YA MSHAHARA WAKO KAMA MOTISHA?