Pius J. Kiwarya Lema
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 1,097
- 565
2010 chadema wabunge walipata 23 wa majimbo sio zaidi 30!!! acha uongo wwewe
Wewe unajua nini kuhusu chadema:what: au povu linakutoka bure kama ngiri aliekoswa na chui, inamaana wabunge 70 kwa 48 wengi wepi:what: au nyie ndio wale mliopunguziwa maksi ili mfaulu:what:
2010 chadema wabunge walipata 23 wa majimbo sio zaidi 30!!! acha uongo wwewe
Jiji la Dar mikononi mwa UKAWA chini ya amsha amsha za EL. Endeleeni kukamata Kongwa, UKAWA ni majiji matatu kati ya manne!
hivi kutoka kura ml 2 mpaka kura ml 6 kama kichwani ni mzima utajua kati ya dr slaa na lowassa nani kakiletea chama faida? kutoka 48 wabunge mpaka 70 kama uoni tofauti kamwone dr wa Akili Ndugu.
Wakati aliyekuwa katibu mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa anagombea Uraisi mwaka 2010, CHADEMA ilikuwa na wabunge wa kuchaguliwa na viti maalumu wasiozidi 10 ( Ndesamburo, Zitto Kabwe, Dk. Slaa, Halima Mdee na wengineo) baada ya uchaguzi CHADEMA ilivuna viti vya ubunge zaidi ya 30 na kuifanya iwe na wabunge wa kuchaguliwa na viti maalumu wapatao 48 na hivyo kuunda kambi ya rasmi ya upinzani bungeni. Lakini hali ya mambo imekuwa tofauti kabisa mwaka huu wa 2015 ambapo CHADEMA ilimsimamisha ndugu Edward Lowassa kama mgombea wa Urais huku akiungwa mkono na vyama vya CUF, NCCR na NLD kwani CHADEMA imepata wabunge wa kuchaguliwa na viti maalum wapatao 70 ambalo ni ongezeko la wabunge 22 tu kutoka wabunge 48 waliowapata mwaka 2010. Hivyo basi CHADEMA kwa kumsimamisha Lowassa mwaka 2015 kama mgombea wake kimepata wabunge wachache ukilinganisha na wabunge waliowapata mwaka 2010 kwa kumsimamisha Dk. Slaa kama mgombea wake bila ya kuungwa mkono na chama chochote.