kigoma mjini
Member
- Dec 1, 2013
- 95
- 9
Kwanza Yusuph makamaba hajawahi kuwa rfiki na Dr sLAA hata siku moja, mwak 2010 tar 11/9/2013 alimtukana Dr Slaa kuwa anakimada na Dr Slaa alimjibu kwa kumtaka atoe sababu za yeye kuingia katika siasa na kuacha kazi yake ya ualimu na hatimaye makamba kumwomba msamaha Dr Slaa, lakini bado Dr Slaa alikwenda mjini tanga katika majimbo yote ya uchaguzi kuomba kura akiwa mgombea wa urais. Kanye kwanza ndio uje hapa na hoja zako mana naona haja ikikubana unalopoka tuu
hakufika Lushoto kutokana na hali ya hewa ya mawingu na mvua;na kule kuna milima mingi nayeye alikuwa anatumia chopa isingekuwa salama wao kwenda, nilikuwepo Lushoto mjini kwa shughuli zangu na watu walikuwa wanamsubiri;na hali ya hewa kwa kweli ilikuwa sio nzuri
wewe acha uongo hiyo ni propaganda hakukuwa na mawingu wala mvua. na kama ni hivyo mbona alifwata kwa gari akagoma kwenda.
Kwanza Yusuph makamaba hajawahi kuwa rfiki na Dr sLAA hata siku moja, mwak 2010 tar 11/9/2013 alimtukana Dr Slaa kuwa anakimada na Dr Slaa alimjibu kwa kumtaka atoe sababu za yeye kuingia katika siasa na kuacha kazi yake ya ualimu na hatimaye makamba kumwomba msamaha Dr Slaa, lakini bado Dr Slaa alikwenda mjini tanga katika majimbo yote ya uchaguzi kuomba kura akiwa mgombea wa urais. Kanye kwanza ndio uje hapa na hoja zako mana naona haja ikikubana unalopoka tuu
katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 wagombea ubunge wa majimbo ya Mlalo ndg Charles Kagonji na wa jimbo la lushoto mjini ndg Deo Kisandu kwa tiketi ya chadema, Dk. Slaa aligoma kwenda msjimbo hayo kutokana na kuogopa kumwangusha rafiki yake Yusuf Makamba ambae waliongea kutokufika majimbo hayo. Hata hivyo Slaa aliacha kwenda Lushoto mara mbili kinyume na ratiba na kushuka korogwe vijijini ambayo haikuwemo kwenye ratiba,pamoja na Deo kisandu kumfuta mombo na gari lakini slaa aliendelea kuweka msumeno. Nashangaa sana wenje anapomlaumu zitto kuwa hajamnadi. viongozi wote CDM ni mamluki. baada ya uchaguzi mkuu2012 babu ndiyo akaenda Lushoto kwakuwa hakuna uchaguzi.
Kwanza Yusuph makamaba hajawahi kuwa rfiki na Dr sLAA hata siku moja, mwak 2010 tar 11/9/2013 alimtukana Dr Slaa kuwa anakimada na Dr Slaa alimjibu kwa kumtaka atoe sababu za yeye kuingia katika siasa na kuacha kazi yake ya ualimu na hatimaye makamba kumwomba msamaha Dr Slaa, lakini bado Dr Slaa alikwenda mjini tanga katika majimbo yote ya uchaguzi kuomba kura akiwa mgombea wa urais. Kanye kwanza ndio uje hapa na hoja zako mana naona haja ikikubana unalopoka tuu
hakufika Lushoto kutokana na hali ya hewa ya mawingu na mvua;na kule kuna milima mingi nayeye alikuwa anatumia chopa isingekuwa salama wao kwenda, nilikuwepo Lushoto mjini kwa shughuli zangu na watu walikuwa wanamsubiri;na hali ya hewa kwa kweli ilikuwa sio nzuri
wewe ndio muongo, mie nilikuwepo ngoja nikuulize Lushoto unakujua? na siku Dr Slaa anakuja ulikuwepo Lushoto?
Pamoja na kuwepo kwa hali mbaya ya hewa kiasi cha kutaka kuleta ukakasi ktk zoezi zima la kampeni dr. aliweza fika maeneo mengi tu ndani ya lushoto.