Dk silaa kuwa waziri??

Status
Not open for further replies.

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,888
Jamani nimeota dk silaa kachaguliwa baraza la mawaziri sijui lipi lakini akiwa anafuraha kabisa embu wananyota na ndoto tupen maana ya ndoto hii
 
Jamani nimeota dk silaa kachaguliwa baraza la mawaziri sijui lipi lakini akiwa anafuraha kabisa embu wananyota na ndoto tupen maana ya ndoto hii

JK hata kama akichagua usingizini hawezi mteua Slaa, kwani shughuli anaifamu.
 
Maana ya ndoto hiyo ni mafanikio makubwa alinayo slaa kwenye siasa, hata hvo tunasubili police wa adjust tamko lao, then tuanze mkutano rasmi kwaajili ya kuelimisha umma nini kililfanyika, kimefanyika, knafanyika, na kipi kitafanyika
 
Jamani nimeota dk silaa kachaguliwa baraza la mawaziri sijui lipi lakini akiwa anafuraha kabisa embu wananyota na ndoto tupen maana ya ndoto hii
Naona ndoto yako ipo against msimamo wa Slaa juu ya JK
 
kwani Slaa amekuwa rafiki wa RA, EL?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…