Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 61,023 Reaction score 36,888 Nov 24, 2010 #1 Jamani nimeota dk silaa kachaguliwa baraza la mawaziri sijui lipi lakini akiwa anafuraha kabisa embu wananyota na ndoto tupen maana ya ndoto hii
Jamani nimeota dk silaa kachaguliwa baraza la mawaziri sijui lipi lakini akiwa anafuraha kabisa embu wananyota na ndoto tupen maana ya ndoto hii
TUKUTUKU JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 11,763 Reaction score 4,046 Nov 24, 2010 #2 :tape::tape::tape::tape:
M Mabel JF-Expert Member Joined Sep 1, 2010 Posts 1,290 Reaction score 717 Nov 24, 2010 #3 Pdidy said: Jamani nimeota dk silaa kachaguliwa baraza la mawaziri sijui lipi lakini akiwa anafuraha kabisa embu wananyota na ndoto tupen maana ya ndoto hii Click to expand... JK hata kama akichagua usingizini hawezi mteua Slaa, kwani shughuli anaifamu.
Pdidy said: Jamani nimeota dk silaa kachaguliwa baraza la mawaziri sijui lipi lakini akiwa anafuraha kabisa embu wananyota na ndoto tupen maana ya ndoto hii Click to expand... JK hata kama akichagua usingizini hawezi mteua Slaa, kwani shughuli anaifamu.
Z ZEBEDAYO Member Joined Jun 2, 2010 Posts 8 Reaction score 1 Nov 24, 2010 #4 Maana ya ndoto hiyo ni mafanikio makubwa alinayo slaa kwenye siasa, hata hvo tunasubili police wa adjust tamko lao, then tuanze mkutano rasmi kwaajili ya kuelimisha umma nini kililfanyika, kimefanyika, knafanyika, na kipi kitafanyika
Maana ya ndoto hiyo ni mafanikio makubwa alinayo slaa kwenye siasa, hata hvo tunasubili police wa adjust tamko lao, then tuanze mkutano rasmi kwaajili ya kuelimisha umma nini kililfanyika, kimefanyika, knafanyika, na kipi kitafanyika
bwegebwege JF-Expert Member Joined Jul 30, 2010 Posts 1,072 Reaction score 189 Nov 24, 2010 #5 Slaa kuisaliti CDM
Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 34,637 Reaction score 37,959 Nov 24, 2010 #6 Pdidy said: Jamani nimeota dk silaa kachaguliwa baraza la mawaziri sijui lipi lakini akiwa anafuraha kabisa embu wananyota na ndoto tupen maana ya ndoto hii Click to expand... Naona ndoto yako ipo against msimamo wa Slaa juu ya JK
Pdidy said: Jamani nimeota dk silaa kachaguliwa baraza la mawaziri sijui lipi lakini akiwa anafuraha kabisa embu wananyota na ndoto tupen maana ya ndoto hii Click to expand... Naona ndoto yako ipo against msimamo wa Slaa juu ya JK
Utingo JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 10,265 Reaction score 8,094 Nov 24, 2010 #7 kwani Slaa amekuwa rafiki wa RA, EL?