Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
Kwa mamlaka aliyopewa Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri ambapo Ramadhan Abdallah Shaaban amekuwa Waziri Ardhi, Maakazi, Maji na Nishati, Ali Juma Shamhuna amehamishiwa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Suleman Othman Nyanga amepeleka Wiraza ya Kilimo na Maliasili na Mansoor Yussuf Himid amekuwa Waziri asiye na wizara maalumu, na Abdillahi Jihad Hassan amehamishiwa wizara ya Mifugo na Uvuvi na Said Ali Mbarouk amehamishiwa wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii Michezo na pia Rais amemteuwa Sheha Mohammed Sheha kuwa mshauri wake Kisiwani Pemba