Wanandugu habari nyepepesi nyepesi zilizotufikia hapa
ni kwamabna mzee bado anaomba ushauri jamaa(DK MWAKYEMBE)) aingie kwenye list
au la..na hili limetokana na mh waziri mkuu mpya kumshauri
kuwepo kwa ""KIFAA""hichi ili waweze kumaliza yale mungu aiopanga kuwaondolea umaskini watanzania.....habari zaidi ntaendelea kuwaletea kesho nini kinaendelea,,,kuna uwezkano mkubwa wana JF WAKAWA WACHAWI WA MAFISADI...habari nyingine mzee mzima MRAMBA amejaribu kumwomba mzee asimshirikishe katika ufalme huu isije ikamtokeaa laana ya kujiuzulu kama wenzake wakina karamagi,,,,ila inasemekana kuna wah 3 wa epa wako kwenye list kwa makusudi ili waweze kusaidia ushaidi na kuja kuungama mbele yawabunge wengine,,kam hili ni kweli basi,,,stay in tune
NEEMA YA WATANZANIA INAKUJA SASA.............
ni kwamabna mzee bado anaomba ushauri jamaa(DK MWAKYEMBE)) aingie kwenye list
au la..na hili limetokana na mh waziri mkuu mpya kumshauri
kuwepo kwa ""KIFAA""hichi ili waweze kumaliza yale mungu aiopanga kuwaondolea umaskini watanzania.....habari zaidi ntaendelea kuwaletea kesho nini kinaendelea,,,kuna uwezkano mkubwa wana JF WAKAWA WACHAWI WA MAFISADI...habari nyingine mzee mzima MRAMBA amejaribu kumwomba mzee asimshirikishe katika ufalme huu isije ikamtokeaa laana ya kujiuzulu kama wenzake wakina karamagi,,,,ila inasemekana kuna wah 3 wa epa wako kwenye list kwa makusudi ili waweze kusaidia ushaidi na kuja kuungama mbele yawabunge wengine,,kam hili ni kweli basi,,,stay in tune
NEEMA YA WATANZANIA INAKUJA SASA.............