kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,247
- 16,169
Dk Mo ana uhakika gani kuwa wanasimba wangapi hawamtaki Mangungu?
Mangungu amechaguliwa na Mkutano Mkuu kuwa mwenyekiti, hawezi kuondolewa na Dk mo kihuni kwa makosa ambayo hayana ushahidi. Yaani wajumbe woooote hawana akili kumchagua Mangungu. Kama vile inageuka vita ya kibiashara na GSM.
KInachoonekana sasa ni kama vile Dkt Mo anadhaminiwa na mdhamini wa Simba, mo ili wamuondoe Mangungu.
Mangungu hasajili wala hapangi kikosi wala sio mfadhili, anahusikaje na simba kufungwa na kufunga?
Kama Simba hawatachukua hatua watavuna magugu.
Mangungu amechaguliwa na Mkutano Mkuu kuwa mwenyekiti, hawezi kuondolewa na Dk mo kihuni kwa makosa ambayo hayana ushahidi. Yaani wajumbe woooote hawana akili kumchagua Mangungu. Kama vile inageuka vita ya kibiashara na GSM.
KInachoonekana sasa ni kama vile Dkt Mo anadhaminiwa na mdhamini wa Simba, mo ili wamuondoe Mangungu.
Mangungu hasajili wala hapangi kikosi wala sio mfadhili, anahusikaje na simba kufungwa na kufunga?
Kama Simba hawatachukua hatua watavuna magugu.