josam
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 2,252
- 1,046
Kitendo cha Jaji Mheshimika ambaye alipigwa na magamba kwa ajili ya katiba mpya na kitendo cha kupigia debe wachakachuaji wa katiba kurejea madarakani kweli nimeamini kuwa Mkuu wa wilaya alikuwa sahihi kuongoza vijana kumpiga na kuanzisha fujo.Sasa tunakuomba warioba utwambie vizuri kuhusu meremeta ambayo na wewe ulihusishwa,vilevile utwambie vizuri kuhusu hisa unazomiliki ndani ya airtel!!!!.
Ni aibu kwa mheshimiwa kiongozi wetu wewe na polepole kuwageuka ukawa ati kisa magufuli.Je magufuli amekuahidi kurudisha vipengele vya katiba vilivyonyofolewa!!! Mfano kuhusu watu kutorosha pesa na kuweka mabenki ya nje!!
Mzee alianza kunichefua siku ile blue peal hotel. Na tangu siku ile nachelea kusema kwa ukasuku huu kumbe alistahili kurabwa makofi na bwana mdogo yula ambae alizawadia ukuu wa wilaya kwa kitendo kizuri cha kumzaba makonde mzee yule sijui anakula maharage ya wapi mzee yule? Aache kutumika... ana tuchanganya!