Dk. Magufuli msituadhibu

Dk. Magufuli msituadhibu

Hapa kazi tu!

KAZI IPI?
"ccm tumejaribu kuleta maendeleo lakini lazima nikiri kwamba ndani ya ccm kuna kasoro.tuna mijitu hovyo,tuna wezi,tuna mjambazi humo na kuna watu wanafiki ndani ya ccm. ccm kuna majungu na ulaji" - ABDULRAHMAN KINANA katika kampeni za ccm -moshi 5th sept 2015.
 
Pia uwaulize SUMAYE na LOWASA walikua mawaziri wakuu walimshauri nini raisi ikiwa wao wanauchukia sana umaskini
 
Anaomba radhi kwa lipi wakati ilani ilyopita wametekeleza kwa asilimia 95 na kuhusu mchwa mbona walisema ni propaganda za upinzani acha tukutane oct 25

acha maamuzi ya hasira mkuu, tuwajaribu kwa mara ya mwisho, wamekuwa waungwana sana kukili mapungufu, heri yao kuliko yule mwingine yeye kakataa kata kata kuomba msamaha na kukiri makosa juu ya Richmond, tuwahurumie tu ndugu yangu.
 
Swali kwa magufuli?mh:magufuli umesema hapa tulipo tumefika hapa kwa sababu ya mchwa waliopo serekalini je kwanini ulikuwa hamshauri rais kikwete awachukulie hatua hao mchwa?
Swali no mbili
Kwani wasichukuliwe hatua kipindi hiki cha kampeni ili tuzidishe imani na wewe?
Magufuli amesahau Kuwa yeye bado ni waziri ndani ya serikali,ccm janga kubwa sana
 
Pia uwaulize SUMAYE na LOWASA walikua mawaziri wakuu walimshauri nini raisi ikiwa wao wanauchukia sana umaskini
kilichofanywa na Lowasa toward kuondoa umasikini kinaonekana,idea ya shule za kata kama ingeendelezwa vizuri ilikuwa inalenga kutoa fursa nyingi za watu kupata elimu na hivyo Kuwa na uwezo zaidi katika kupambana na umasikini
 
Swali kwa magufuli?mh:magufuli umesema hapa tulipo tumefika hapa kwa sababu ya mchwa waliopo serekalini je kwanini ulikuwa hamshauri rais kikwete awachukulie hatua hao mchwa?
Swali no mbili
Kwani wasichukuliwe hatua kipindi hiki cha kampeni ili tuzidishe imani na wewe?

3. Anashangaa toka Tanga hadi Mtwara hakuna kiwanda kikubwa cha samakai... ANAMSHANGAA NANI..??? JK, CCM AU WANANCHI..???
4. Anashangaa maduka ya nje ya hospitali yana dawa... ANAMSHANGAA NANI..??? JK, CCM AU WANANCHI..???


 
ccm tupa kule!
CCM NI MFUMO!
MAGUFULI NI MTEULE WA WANAMFUMO!
CAN WE EXPECT CHANGES?
MAGUFULI ANAFAA SANA TATIZO HILO ""DUBWANA"""
 
Pia uwaulize SUMAYE na LOWASA walikua mawaziri wakuu walimshauri nini raisi ikiwa wao wanauchukia sana umaskini

Lowassa alishauri shule za kata.... Sumaye alishakwambia ndani ya CCM ukitaka kubadili kitu unazuiwa...
 
Hakuna namna nyingine ni adhabu tu, hivi mzee warioba sasa amekuwa useful kwa ccm?
 
Sasa ndugu zangu kama magufuli analalamika kwa kiwango hiki je sisi wananchi tutalalamika kwa kiwango gani?je tutachukua hatua gani kwa serekali kama hii anayoilalamikia magufuli?
Je magufuli haoni anawarahisishia ukawa kampeni zao?
 
Naomba ajibu kwanini aliwambia wananchi kuwa anaeona shilingi 200 ni ghali apige mbizi?
 
jaribu kuwa na huruma.

Mkuu hawa jamaa wanakera sana tatizo wamejaza Ndugu, watoto mjomba, shangaz huko serikalini alaf risimoja ndio anaamua nan awe rais huyu dogo ndo aliyeharibu
 
Magufuli hana shida tatizo mfumo aliopo
 
Mim ni ccm lkn kura yangu kwa Lowasa tuu
 
acha maamuzi ya hasira mkuu, tuwajaribu kwa mara ya mwisho, wamekuwa waungwana sana kukili mapungufu, heri yao kuliko yule mwingine yeye kakataa kata kata kuomba msamaha na kukiri makosa juu ya Richmond, tuwahurumie tu ndugu yangu.

Kwa nini aombe msamaha kwani Waziri Mkuu ndiye Mwenyekiti wa baraza la mawaziri? Ameishawaambia kuwa mamlaka ya juu ilitoa maagizo kuwa mkataba wa Richmond usainiwe kama kawaida, acheni unafiki kwa nini hamtaki kumuwajibisha Kikwete kwa hili?
 
MTAKOMA ukawa MMEPATA MTU KIGEUGEUUU ANAYEANGALI DINI......... MTU KAMA UYUUUU KAMWE IKULU ATAISOMA NAMBA KISHA ABANDUEE

Samahani lakini hilo la happymalya ni jina lako kweli au bandia? So uko happy kweli kutokana na khali ya nchi hii? Mungu alitubariki kwa natural wonders ambazo zinaita watalii kutoka kila kona ya dunia na madini ya kipekee ambayo hayamnufaishi hata mTz mmoja isipokuwa wakubwa wachache.

Mungu ndiye anaetawala juu ya nchi kama huamini soma Maandiko Matakatifu utaona. Mungu humpa kiti cha mamlaka atakae yeyote ili apate kutenda haki juu yaa nchi na endapo atakiuka Maagizo ya Mungu alie Hai, atatolewa kwenye hicho kiti na kitapewa kwa anaestahili yaani atakaetawala kwa haki. Kama maombi yetu yatasikika mbele za Mungu, ccm hawana chao maana hawakutawala kwa haki.

Pia kama tofauti kati ya walio nacho na wasio nacho ikiwa kubwa mno, revolt inaweza kutokea. Wewe ulie nacho utaonekana kuwa adui kwa maana mwenzako hana na hana namna ya kukipata kwa hiyo ataku target ulie nacho na maisha yako yatakuwa magumu. Utakuwa unaibiwa na kutendewa maovu tu kwa vile unacho na haitajalisha unakitafuta kwa jasho ama la. Tupende kuwainua na wenzetu walio na hali duni kwa kuchagua viongozi wanajenga uchumi wa nchi na sio wanaotuhadaa kwa ahadi hewa huku wakizidi kuikandamiza nchi.

Hope utabadilika na utaumia moyoni kwa ajili ya wananchi wenzako wasio na khali nzuri ya kiuchumi.
 
Back
Top Bottom