Dkt.Magufuli anahudhulia mazishi ya mtoto wa raifiki yake kipenzi na Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga aitwaye Fidel Odinga yanayofanyika huko Bondo, Kisumu, Kenya.
Dk.Magufuli aliguswa na msiba huo wa Fidel Odinga aliyekuwa rafiki mkubwa wa familia.
Aidha inataarifiwa kuwa Dk.Magufuli ataiwakirisha serikali ya Tanzania kuhudhulia msiba huo.
View attachment 217440
Dk.Magufuli akisalimiana na Fidel Odinga enzi za uhai wake pembeni ni Ida Odinga mama Mzazi
Nitawajuza zaidi kadri taarifa nitakavyozipata.
RIP Fidel Castro Odinga
Source: Own Source