Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Good luck. Ila asubiri hadi 2015 baada ya Bunge kumaliza muda wake maana Zitto akijiengua sasa ina maana ubunge wake bye bye. Dr. Kitila ameingia katika kundi lile la 'nomads' wa kisiasa!
 
Huu si ni ule umoja wa wasaliti? Ndiyo wanataka kumsimsmisha Hamad Rashid kama mgombea urais?
 
Mpaka hapo nani anakataa kuwa hawa jamaa walikuwa na njama za kuteka uongozi wa juu wa cdm kwa kazi maalumu?

Mungu anaweza kumficha mnafiki kwa mda fulani na kwa reason fulani ila siko moja akamwanika hadharani.........Let just wish em mafanikio mema in ACT
 
Haya...subirini ile demokrasia iliyokuwa ikihubiriwa.......demokrasia isiyo na mipaka wala ethics......Hapa hapa JF tutajua yote.....Nadhani ya chama mbadala yametimia........yetu macho...:israel:
 
1399357519919.jpg
Sio kumkaribisha Zitto kwani Zitto ndiyo Mlezi Wa Chama Hicho.
 
Mpaka hapo nani anakataa kuwa hawa jamaa walikuwa na njama za kuteka uongozi wa juu wa cdm kwa kazi maalumu?

Mungu anaweza kumficha mnafiki kwa mda fulani na kwa reason fulani ila siko moja akamwanika hadharani.........Let just wish em mafanikio mema in ACT

mi nadhani tuache demokrasia ifanye kazi yake mkuu...walichokitaka wanaweza kukipata huko ACT au hata CCM kama wanajiamini kiasi hicho....lakini hilo walilolotaka kufanya kisiri siri halikubaliki popote pale..all the best to them
 
Dk kitila mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa act kupitia clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri zito aje kugombea uwenyekiti.
waasisi wa ACT ni watatu tu - Zitto, Mkumbo na Mwigamba!!

Hiki ni chama kilichoasisiwa mahsusi kupunguza kura za CDM 2015 ili CCM ipate ahueni - nyie mtaona kama kitapigwa hata bomu moja kwenye mikutano yake!!
 
Back
Top Bottom