Acha Kujifanya unaijua sana nchi hii.mkurugenzi wa mali asili na utalii upande basi? sifanyi hata siku moja
Acha Kujifanya unaijua sana nchi hii.mkurugenzi wa mali asili na utalii upande basi? sifanyi hata siku moja
huyu ni mtetezi mkubwa sana wa misitu. Namkubali na nahisi hata kustaafu kwake kuna walakini
Huyu mzee hana makuu kabisa. Ameshastafu toka tayari. Sasa hv nadhani kuna ngo inayohusika na misitu ndio yupo. Pole sana doctor.Naendelea Kushangaa na ninaomba mnisaidie kushangaa nyie wenzangu,
mtu mwenye hadhi ya ukurugenzi kisha doctor anapanda gari la abiria ya tsh 35,000?
tatizo nini hajapewa gari? hajapewa dereva?