Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Tangu achukue nchi kwa mbwembwe na kura nyingi mwaka 2005 ..JK amelisaidia nini taifa letu hili lenye rasilimali nyingi ..na akiondoka tukamkumbuka kwa kitu gani kizuri?..achana na safari zake nyingi za nje ambazo mpaka sasa hivi hazina tija kwa taifa ..labda kwa watu wachache...bado safari ni ndefu sana hadi 2015..ni wangapi wanauhakika kuwa taifa litafika 2015 likiwa an hali nzuri?